WA KISHUA OG
Senior Member
- Nov 3, 2024
- 127
- 338
Tupo ambao hatuna watoto hapo tumebakiza wachache sana dunianiWeeeeee mwanaume wa 40yrs awe hana watoto kwel,, unasemaje 3-0
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo ambao hatuna watoto hapo tumebakiza wachache sana dunianiWeeeeee mwanaume wa 40yrs awe hana watoto kwel,, unasemaje 3-0
Npo tiari lakin bila mim kujua chanzo chako cha kipato basi hata chanzo cha kipato changu hakiwezi kukuhusuHabari za humu JF
Mimi ni mwanamke umri 34yrs naishi Dar es Salaam natafuta mwanaume wa kunioa
Sifa zangu
Trible:mpare wa ugweno
Elim Digree
Kazi: Biashara ndogondogo
Dini:Mkristo Lutheran(KKKT)
Nina watoto 3 niliwahi kuolewa Ila Bahati mbaya amefariki kwa ajali ya gari, ninahofu ya Mungu, mpole, msikivu,mtulivu,rangi maji ya kunde (mweupe kwa Kiasi Ila si sana)sio mnene wala mwembamba pia sio mfupi ni mrefu Kiasi(wastani)
Sifa za mwanaume
Umri kuanzia miaka 40 hadi 55 awe na hofu ya Mungu ,mkweli na mwenye upendo
Awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato, akiwa na watoto ni Sawa nitawapenda Kama Wangu, kabila lolote , dini Mkristo ila sio Sabato zaid awe mpambanaji(mtafutaji)Karibu dm tuyajenge niko tayari kuwa mke.
3 kavu kwa Me wa 40 yrs mkuu??Mechi inaanza 3 - 0 . Upewe haja ya moyo wako
Udogo ushanikosesha mkeSisi wa under 40,tunasoma tu coment
Hata mimiUdogo ushanikosesha mke
Mxiuuuu hata kwa bure sikutaki,,we lazima utakua na matatizo kwenye kiuno hapoTupo ambao hatuna watoto hapo tumebakiza wachache sana duniani
Tendo la ndoa atalipata wapi au huoni hilo? Anahitaji mwanaume mmoja wa kumkuna 😋Tulia lea watoto wako watatu acha kutanga tanga.
Watoto watatu wote unataka kumpa nani huo mzigo ?......
Sema unataka wa kukusaidia kulea watoto wako acha kutafuta huruma na unafuu wa maisha!...
Thought I was the only one who sees the bitterness masqueraded as 'truth' by the incels in here.Another gallant soldier from an online incel brigade. Nigga just let the lady be, no need to be vulgar, my man.
Peace ✌🏿
Pole yetu mkuuHata mimi
AsantePole yetu mkuu
Kwangu mchumba mimi wa Usangi je tutawezana?Habari za humu JF
Mimi ni mwanamke umri 34yrs naishi Dar es Salaam natafuta mwanaume wa kunioa
Sifa zangu
Trible:mpare wa ugweno
Elim Digree
Kazi: Biashara ndogondogo
Dini:Mkristo Lutheran(KKKT)
Nina watoto 3 niliwahi kuolewa Ila Bahati mbaya amefariki kwa ajali ya gari, ninahofu ya Mungu, mpole, msikivu,mtulivu,rangi maji ya kunde (mweupe kwa Kiasi Ila si sana)sio mnene wala mwembamba pia sio mfupi ni mrefu Kiasi(wastani)
Sifa za mwanaume
Umri kuanzia miaka 40 hadi 55 awe na hofu ya Mungu ,mkweli na mwenye upendo
Awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato, akiwa na watoto ni Sawa nitawapenda Kama Wangu, kabila lolote , dini Mkristo ila sio Sabato zaid awe mpambanaji(mtafutaji)Karibu dm tuyajenge niko tayari kuwa mke.
Wee utanifaa. Sasa kabla sijaja pm niwe mkweli toka mwanzo. Mwenzio mie ni hiv+. Hilo mosi. Pili, upo tayari watoto wasome boarding ili mie na weye tuenjoy life, ada zao nitalipa mie bila wasiwasi. Tatu, biashara ya kuzaa hapo hamna na hwe tayari kuhamia nchi nyingine maana maisha yangu kumalizia hapa tz hapana kwa kweli.Habari za humu JF
Mimi ni mwanamke umri 34yrs naishi Dar es Salaam natafuta mwanaume wa kunioa
Sifa zangu
Trible:mpare wa ugweno
Elim Digree
Kazi: Biashara ndogondogo
Dini:Mkristo Lutheran(KKKT)
Nina watoto 3 niliwahi kuolewa Ila Bahati mbaya amefariki kwa ajali ya gari, ninahofu ya Mungu, mpole, msikivu,mtulivu,rangi maji ya kunde (mweupe kwa Kiasi Ila si sana)sio mnene wala mwembamba pia sio mfupi ni mrefu Kiasi(wastani)
Sifa za mwanaume
Umri kuanzia miaka 40 hadi 55 awe na hofu ya Mungu ,mkweli na mwenye upendo
Awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato, akiwa na watoto ni Sawa nitawapenda Kama Wangu, kabila lolote , dini Mkristo ila sio Sabato zaid awe mpambanaji(mtafutaji)Karibu dm tuyajenge niko tayari kuwa mke.