Natafuta Mume

Natafuta Mume

Thought I was the only one who sees the bitterness masqueraded as 'truth' by the incels in here.

They are so oblivious, they think they're some kind of prophets🤣
Men boycotting Women, is just another sacrilegious and amateurish comedy.

Once you grow up, and understand how the FEMALE GENDER operates, you'll never hate them a single day. Women do what Women do best.​
 
Habari za humu JF

Mimi ni mwanamke umri 34yrs naishi Dar es Salaam natafuta mwanaume wa kunioa

Sifa zangu
Trible:mpare wa ugweno
Elim Digree
Kazi: Biashara ndogondogo
Dini:Mkristo Lutheran(KKKT)

Nina watoto 3 niliwahi kuolewa Ila Bahati mbaya amefariki kwa ajali ya gari, ninahofu ya Mungu, mpole, msikivu,mtulivu,rangi maji ya kunde (mweupe kwa Kiasi Ila si sana)sio mnene wala mwembamba pia sio mfupi ni mrefu Kiasi(wastani)

Sifa za mwanaume
Umri kuanzia miaka 40 hadi 55 awe na hofu ya Mungu ,mkweli na mwenye upendo

Awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato, akiwa na watoto ni Sawa nitawapenda Kama Wangu, kabila lolote , dini Mkristo ila sio Sabato zaid awe mpambanaji(mtafutaji)Karibu dm tuyajenge niko tayari kuwa mke.
Mungu akusaidie upate Mume bora kabisa
 
Kwanza pole kwa kufiwa, watoto watatu na inaonekana watakuwa wamefatana Tuliza akili lea wanao na Linda ulichoachiwa kwa manufaa ya watoto Kama walikuwa wanasoma shule za bei watoe kwanza ujipange!!

Ukijichanganya ukakutana na hawa wapaka mkongo wa sinza wakakukojoza watachukua mpaka hicho ulicho nacho.
 
Habari za humu JF

Mimi ni mwanamke umri 34yrs naishi Dar es Salaam natafuta mwanaume wa kunioa

Sifa zangu
Trible:mpare wa ugweno
Elim Digree
Kazi: Biashara ndogondogo
Dini:Mkristo Lutheran(KKKT)

Nina watoto 3 niliwahi kuolewa Ila Bahati mbaya amefariki kwa ajali ya gari, ninahofu ya Mungu, mpole, msikivu,mtulivu,rangi maji ya kunde (mweupe kwa Kiasi Ila si sana)sio mnene wala mwembamba pia sio mfupi ni mrefu Kiasi(wastani)

Sifa za mwanaume
Umri kuanzia miaka 40 hadi 55 awe na hofu ya Mungu ,mkweli na mwenye upendo

Awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato, akiwa na watoto ni Sawa nitawapenda Kama Wangu, kabila lolote , dini Mkristo ila sio Sabato zaid awe mpambanaji(mtafutaji)Karibu dm tuyajenge niko tayari kuwa mke.
Daah ulivyo andika kweli wewe unahitaji mume na hujakosea kwa kuwa kuolewa na kuolewa ni sehemu ya maisha na ni agizo la Mungu mwenyewe.
 
Habari za humu JF

Mimi ni mwanamke umri 34yrs naishi Dar es Salaam natafuta mwanaume wa kunioa

Sifa zangu
Trible:mpare wa ugweno
Elim Digree
Kazi: Biashara ndogondogo
Dini:Mkristo Lutheran(KKKT)

Nina watoto 3 niliwahi kuolewa Ila Bahati mbaya amefariki kwa ajali ya gari, ninahofu ya Mungu, mpole, msikivu,mtulivu,rangi maji ya kunde (mweupe kwa Kiasi Ila si sana)sio mnene wala mwembamba pia sio mfupi ni mrefu Kiasi(wastani)

Sifa za mwanaume
Umri kuanzia miaka 40 hadi 55 awe na hofu ya Mungu ,mkweli na mwenye upendo

Awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato, akiwa na watoto ni Sawa nitawapenda Kama Wangu, kabila lolote , dini Mkristo ila sio Sabato zaid awe mpambanaji(mtafutaji)Karibu dm tuyajenge niko tayari kuwa mke.
Umeshapata?
 
Mshangaz kwenye moja nambili
Nb: atakae fanikiwa ahakikishe mzazi mwenzake amefarik kwel nakaburi ameliona
 
Naumiza kichwa sana, bado kama siku 25 nidaiwe ada na hawa vijana 7 nilio nao; nikiongeza na hao wengine 3, nitakuwa chizi kabisa.

Bado msosi, mavazi, matibabu; halafu wakikuwa wakubwa, baba nakuwa kama simba dume aliyezeeka na kutimuliwa nyumbani.​
 
Back
Top Bottom