Natafuta Mume

Natafuta Mume

Weeeeee mwanaume wa 40yrs awe hana watoto kwel,, unasemaje 3-0
Mimi mbona nipo kwenye 70's na sina mtoto! Sema tu sina sifa. Umri wa mume mtarajiwa unatakiwa 40-55 yrs! Angeongeza umri wa kutuma maombi, ningepata watoto wangu 3 wa kuniita baba, kirahisi kabisa.
 
Habari za humu JF

Mimi ni mwanamke umri 34yrs naishi Dar es Salaam natafuta mwanaume wa kunioa

Sifa zangu
Trible:mpare wa ugweno
Elim Digree
Kazi: Biashara ndogondogo
Dini:Mkristo Lutheran(KKKT)

Nina watoto 3 niliwahi kuolewa Ila Bahati mbaya amefariki kwa ajali ya gari, ninahofu ya Mungu, mpole, msikivu,mtulivu,rangi maji ya kunde (mweupe kwa Kiasi Ila si sana)sio mnene wala mwembamba pia sio mfupi ni mrefu Kiasi(wastani)

Sifa za mwanaume
Umri kuanzia miaka 40 hadi 55 awe na hofu ya Mungu ,mkweli na mwenye upendo

Awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato, akiwa na watoto ni Sawa nitawapenda Kama Wangu, kabila lolote , dini Mkristo ila sio Sabato zaid awe mpambanaji(mtafutaji)Karibu dm tuyajenge niko tayari kuwa mke.
Ni mmamba?
 
Kwanza pole kwa kufiwa, watoto watatu na inaonekana watakuwa wamefatana Tuliza akili lea wanao na Linda ulichoachiwa kwa manufaa ya watoto Kama walikuwa wanasoma shule za bei watoe kwanza ujipange!!

Ukijichanganya ukakutana na hawa wapaka mkongo wa sinza wakakukojoza watachukua mpaka hicho ulicho nacho.
Mkuu,
34 bado ni mwanamke mdogo sana, anataka upendo na sehemu ya kutuliza hisia zake. Unataka ashki zake amalizie wapi.
 
Umri kuanzia miaka 40 hadi 55 awe na hofu ya Mungu ,mkweli na mwenye upendo
Kuwa na hofu ya mungu ndo nini? Maana wewe ungekuwa na hofu hiyo ya mungu usingetafuta bwana wa kukuoa bali wewe ndo ungetafutwa. Ishi kwa Neno.

Soma walawi21:13-15

Haruhusiwi kuoa mwanamke mjane, mwanamke asiye bikira, wala kahaba. Ni lazima aoe bikira kutoka watu wake mwenyewe 15asije akawatia unajisi watoto wake mwenyewe. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu niliyemweka wakfu.”
Mume wako alitwambia mashemeji zako akifa tukwambia usiolewe Nikifa MkeWangu Asiolewe
Ndivyo ilivyo mkuu kutafutwa bwana ni kwenda kinyume na maandiko na wosia wa marehemu.
 
Kuwa na hofu ya mungu ndo nini? Maana wewe ungekuwa na hofu hiyo ya mungu usingetafuta bwana wa kukuoa bali wewe ndo ungetafutwa. Ishi kwa Neno.

Soma walawi21:13-15

Haruhusiwi kuoa mwanamke mjane, mwanamke asiye bikira, wala kahaba. Ni lazima aoe bikira kutoka watu wake mwenyewe 15asije akawatia unajisi watoto wake mwenyewe. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu niliyemweka wakfu.”

Ndivyo ilivyo mkuu kutafutwa bwana ni kwenda kinyume na maandiko na wosia wa marehemu.
Ukiona hivyo either mume amekufa kwa stress au mke kammaliza
 
Back
Top Bottom