Natafuta Mume

Npo tiari lakin bila mim kujua chanzo chako cha kipato basi hata chanzo cha kipato changu hakiwezi kukuhusu
 
Njoo Kwangu mchumba mimi wa Usangi je tutawezana?
 
Wee utanifaa. Sasa kabla sijaja pm niwe mkweli toka mwanzo. Mwenzio mie ni hiv+. Hilo mosi. Pili, upo tayari watoto wasome boarding ili mie na weye tuenjoy life, ada zao nitalipa mie bila wasiwasi. Tatu, biashara ya kuzaa hapo hamna na hwe tayari kuhamia nchi nyingine maana maisha yangu kumalizia hapa tz hapana kwa kweli.
Let me know and then we can start to know each other better
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…