Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Hii imepiga kwenye mshono.Tulia lea watoto wako watatu acha kutanga tanga.
Watoto watatu wote unataka kumpa nani huo mzigo ?......
Sema unataka wa kukusaidia kulea watoto wako acha kutafuta huruma na unafuu wa maisha!...
Hao watoto watatu, Aliwapata akiwa ndoani?Mtumishi wa Mungu anatafuta haki ya ndoa aka tendo la ndoa la halali maana miaka 34 bado sana, au unataka awe anafanya uzinzi wakati mwenzako anatafuta mume wa kumalizia uzee (usimbanie bwana mwache apambane)
Thought I was the only one who sees the bitterness masqueraded as 'truth' by the incels in here.
They are so oblivious, they think they're some kind of prophets🤣
Huyu kipingamizi hanaMaombi yangu juu yako upate mme, kigezo muhimu unacho.....kaburi.
Mungu akusaidie upate Mume bora kabisaHabari za humu JF
Mimi ni mwanamke umri 34yrs naishi Dar es Salaam natafuta mwanaume wa kunioa
Sifa zangu
Trible:mpare wa ugweno
Elim Digree
Kazi: Biashara ndogondogo
Dini:Mkristo Lutheran(KKKT)
Nina watoto 3 niliwahi kuolewa Ila Bahati mbaya amefariki kwa ajali ya gari, ninahofu ya Mungu, mpole, msikivu,mtulivu,rangi maji ya kunde (mweupe kwa Kiasi Ila si sana)sio mnene wala mwembamba pia sio mfupi ni mrefu Kiasi(wastani)
Sifa za mwanaume
Umri kuanzia miaka 40 hadi 55 awe na hofu ya Mungu ,mkweli na mwenye upendo
Awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato, akiwa na watoto ni Sawa nitawapenda Kama Wangu, kabila lolote , dini Mkristo ila sio Sabato zaid awe mpambanaji(mtafutaji)Karibu dm tuyajenge niko tayari kuwa mke.
Daah ulivyo andika kweli wewe unahitaji mume na hujakosea kwa kuwa kuolewa na kuolewa ni sehemu ya maisha na ni agizo la Mungu mwenyewe.Habari za humu JF
Mimi ni mwanamke umri 34yrs naishi Dar es Salaam natafuta mwanaume wa kunioa
Sifa zangu
Trible:mpare wa ugweno
Elim Digree
Kazi: Biashara ndogondogo
Dini:Mkristo Lutheran(KKKT)
Nina watoto 3 niliwahi kuolewa Ila Bahati mbaya amefariki kwa ajali ya gari, ninahofu ya Mungu, mpole, msikivu,mtulivu,rangi maji ya kunde (mweupe kwa Kiasi Ila si sana)sio mnene wala mwembamba pia sio mfupi ni mrefu Kiasi(wastani)
Sifa za mwanaume
Umri kuanzia miaka 40 hadi 55 awe na hofu ya Mungu ,mkweli na mwenye upendo
Awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato, akiwa na watoto ni Sawa nitawapenda Kama Wangu, kabila lolote , dini Mkristo ila sio Sabato zaid awe mpambanaji(mtafutaji)Karibu dm tuyajenge niko tayari kuwa mke.
Ina maana mkuu wangu umekuja kwenye session ya comment bila kusoma uzi, mbona amesema aliolewa wakapata watoto watatu bahati mbaya mumewe alifariki kwa ajali.Hao watoto watatu, Aliwapata akiwa ndoani?
Mwaka wa 5 unaona umekaa mno...Leo nimefikiwa. Ila nimeshazoea kukaa bila mke mwaka wa 5 sasa. Nakuja.
Picha zama dm, ni pisi hasa ya kwenda maana nimekwenda DM amenirushiaKumbuka Uzi huu ni vyema ungeupamba kwa picha ingekuwa Bora.
Umeshapata?Habari za humu JF
Mimi ni mwanamke umri 34yrs naishi Dar es Salaam natafuta mwanaume wa kunioa
Sifa zangu
Trible:mpare wa ugweno
Elim Digree
Kazi: Biashara ndogondogo
Dini:Mkristo Lutheran(KKKT)
Nina watoto 3 niliwahi kuolewa Ila Bahati mbaya amefariki kwa ajali ya gari, ninahofu ya Mungu, mpole, msikivu,mtulivu,rangi maji ya kunde (mweupe kwa Kiasi Ila si sana)sio mnene wala mwembamba pia sio mfupi ni mrefu Kiasi(wastani)
Sifa za mwanaume
Umri kuanzia miaka 40 hadi 55 awe na hofu ya Mungu ,mkweli na mwenye upendo
Awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato, akiwa na watoto ni Sawa nitawapenda Kama Wangu, kabila lolote , dini Mkristo ila sio Sabato zaid awe mpambanaji(mtafutaji)Karibu dm tuyajenge niko tayari kuwa mke.
Tutahakikisha vipi?Ina maana mkuu wangu umekuja kwenye session ya comment bila kusoma uzi, mbona amesema aliolewa wakapata watoto watatu bahati mbaya mumewe alifariki kwa ajali.