Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
=====================
Ukipata Ujumbe wa chuki matusi futa delete kabisa
=====================
kuna jamaa yangu ana miaka 23 anatafuta mke, yeye hana mtoto. vipi anafaa nikuunganishe naye?
Kila la heri, itakuwa vizuri pia kama utaweka vimbwanga vyako husaidia katika kutimiza lengo kama hili.
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 44 natafuta mwenza, mwenye mapenzi ya kweli nina mtoto moja wa kike.Napenda mwanaume mwenye kujishugulisha iwe biashara au kuajiriwa, kama ana watoto wasizidi 2, kwa yule alie serious tu ani PM
ahahah wanaume wenye uumri huo wengi sana wako majumbani na ni nadra kupata wa umri huo kwenye mtandao...hata we kwakweli ongera unaenda na wakati....44 bado una browse ahahha bravo