Natafuta mume

Natafuta mume

Mwenzenu anashida anataka nae amiliki amechoka za kuunga unga lkn watu wanamubeza
 
Kajichongee kinyago chako dada halafu hizo degree na masters utakitunuku tu hata zile za jk
 
Mm ni mdada nina miaka 29 naishi kanda ya ziwa. Ninatafuta mume.. Kwa imani kuwa mwenza anapatikana pole.

Wasifu wangu:

Mrefu shape ya wastani sio mnene wala mwembamba. Rangi maji ya kunde.

Dini: mkristo.

Elimu: degdree ktk sekta ya afya.

Sifa za ninaye mtafuta :
Mwanaume umri 30-32yrs
Mkristo,Mrefu, elimu kuanzia diploma. Please pm me kama uko serious. Mbarikiwe sana.

Nimeletwa duniani kwa ajili yako picha yangu hii 1422166206852.jpg
 
Kama Unatafta Mume Kwa Masharti Utasubiri Sana Mpaka Uumpate Cha Msingi Wewe Fanya Yako Tu Siyo Lazima Kuishi Na Mwanaume
 
Sijui nijaribu bahati yangu hapa... manake nishachoka sasa! sema dah, masharti magumu ile mbaya.
 
Mm ni mdada nina miaka 29 naishi kanda ya ziwa. Ninatafuta mume.. Kwa imani kuwa mwenza anapatikana pole.

Wasifu wangu:

Mrefu shape ya wastani sio mnene wala mwembamba. Rangi maji ya kunde.

Dini: mkristo.

Elimu: degdree ktk sekta ya afya.

Sifa za ninaye mtafuta :
Mwanaume umri 30-32yrs
Mkristo,Mrefu, elimu kuanzia diploma. Please pm me kama uko serious. Mbarikiwe sana.
weka picha na mkia
 
Kama Unatafta Mume Kwa Masharti Utasubiri Sana Mpaka Uumpate Cha Msingi Wewe Fanya Yako Tu Siyo Lazima Kuishi Na Mwanaume

Sasa nimeanza kuelewa aina ya wanaume wengi tuliomo humu ni reject mtaani,hatuuziki kabisa.

Ndio maana kuna post nyingi sana za wanaume humu wakilalamika kukosa wake au wapenzi wakati wanawake ni wengi na wamejaa kupita kawaida,wanapatikana kirahsi,kumbe wanaume wengi ni reject.

Masharti ya kawaida sana hayo huyo binti ametoa bado watu mnalalamika?
 
Mwanzo wa thread alipoandika bi dada kwa chini kuna kibahasha kimeandikwa "SEND PM" pembeni yake kuna nyota ni kitufe cha reputation power


na sis je tunaotumia jf mobile tunapiemuje sasa hatanayo hio option please assist
 
Tulia baba! Huwa najiamin sana katika usaili...
 
Back
Top Bottom