Natafuta mwanamke aliye tayari kuingia mkataba wa kunizalia watoto wawili

Habari za masiku mkuu, nilikumiss sana jukwaa hili kwani watu wa uhalisia walipungu. Umenena kweli hata wengine tuliambiwa kuwa wao wanatafuta watoto, mtoto alipopatikana anataka kupindua big house!
Namshukuru M/Mungu mimi na familia yangu sote hatujambo,ni changamoto tu za maisha ndio zinatufanya tunapotea kiasi ndugu yangu
 
Bola maamuzi haya kuliko kuwowa kizazi hiki mume akitoka mlango wa mbele yeye anatokea wanyuma
 
😂😂😂😂ila kweli mkuu!

Kale kademu kanampenda sana sugu ila kanijifanya kumtolea matusi
 
We jamaa noma, huko mtaani hujawaona wapo wengi tu, hata bure anakuzalia.
Hili tangazo naona ni chambo kwa watakaotaka ila wasichana nendeni na mawakili wenu mkafunge mkataba akijifanya hatoi mpunga mzamisheni kwa pilato
 
We jamaa noma, huko mtaani hujawaona wapo wengi tu, hata bure anakuzalia.
Hili tangazo naona ni chambo kwa watakaotaka ila wasichana nendeni na mawakili wenu mkafunge mkataba akijifanya hatoi mpunga mzamisheni kwa pilato
Sinaga miyeyusho brother
 

Hahhaahaaa mtagawana mpaka watoto
 
Asa sijaju utafanya kama mkulima kwamba kila ikifika wakat wa kulima unaenda unarudi wakat wa kuvuna au vp maana sie waafrik ukikaa na mwanamke kidogo tu hisia zinaanza kujijenga mpaka unataja jizo sifa ina mana unapenda mwanamke wa hivyo
KUMBUKA K SIO PHOTOCOPY MASHINE kusema unataka akuzalie watot wenye hizo sifa
 

Kwani wewe ni Michael Jackson?
 
Baada ya hapo watoto wanaenda wapi, asee mi hata kwa bilion moja siingii mkataba kama huo,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…