Ronnycinchy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,086
- 7,118
Ishanipita.
Nimemzidi ujanja
Nimemzidi ujanja
Rafiki sasa hivi hii bahati isikupite tena!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rafiki sasa hivi hii bahati isikupite tena!
Ishanipita.
Nimemzidi ujanja
DiasporaUSAI'd yako ya zamani ni IPI?
Umefikisha lini hiyo miaka?Mimi Nina miaka 35
Kipimo cha akili ndogo ni akili kubwa.Akili ndogo naipimaje?
Acha nibakie na ujanja wangu.
Unamwacha haraka kabla hayajaharibika.Kumpata mwanamke aliye submissive nacho ni kipengele.
Wengine unaweza ukawa umemzidi kila kitu lakini ujeuri hammuishi
Acha kuniçhongea.
Mimi nina 32 nlikua nahitaj mwenza pia nina ela zangu Wala mshahara wako sintaugusa kama utaweza njoo tuanze life
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Rowin wala usimpokee huko PM mkuu...nipo naye kwenye uchumba kwa miaka 5 sasa...mkuu twende pole pole usiwaharibie sana hawa dada zetu
mapungufu yapo kwa kila kiumbe
Sent using Jamii Forums mobile app
tunavumiliana tu mkuu si unajua tena kila mtu yuko huru hapa kuandika chochoteHuwa sielewi inakuwaje mwanaume anaweka tangazo la kutafuta mwenzi(mwanamke) na hajasema anahitaji maoni ila kurupuuuu unakuta wanaume wanatoa maoni na kejeli. Au wengine ni wenzetu nini[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Ndiyo mkuu Jael nami/si tunataka waje PM watuoe.Huwa sielewi inakuwaje mwanaume anaweka tangazo la kutafuta mwenzi(mwanamke) na hajasema anahitaji maoni ila kurupuuuu unakuta wanaume wanatoa maoni na kejeli. Au wengine ni wenzetu nini[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
hamna binadam mwenye asili ya pili pili hohoUna manyama nyama uzembe tumboni ?
mkuu twende pole pole usiwaharibie sana hawa dada zetu
mapungufu yapo kwa kila kiumbe
Sent using Jamii Forums mobile app