agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,400
Oooh kumbe wahi pm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oooh kumbe wahi pm
Acha kuniçhongea.
Mwaka Jana mwezi wa tisaUmefikisha lini hiyo miaka?
Nilitumia keyboard ya lugha usioijua nikajua unaijua.Miwani labda, maana unahitaji sasa. Ç!!
Happy belated birthdayMwaka Jana mwezi wa tisa
Njoo weweOooh kumbe wahi pm
sawa broHuyu Rowin wala usimpokee huko PM mkuu...nipo naye kwenye uchumba kwa miaka 5 sasa...
Bado namsoma maana mara amekuwa submissive kesho kabadilika.
Nimefuta kauli.kaka sio poa kbs ulichoandikahamna binadam mwenye asili ya pili pili hoho
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Rowin wala usimpokee huko PM mkuu...nipo naye kwenye uchumba kwa miaka 5 sasa...
Bado namsoma maana mara amekuwa submissive kesho kabadilika.
We mfuate kule PM umwage CV yako yawezekana ukawa ndiye chaguo lakeI'd yako ya zamani ni IPI?
sawa bro
nimeona lakini Rowin aliwahi tafuta mwenza back then
if it is you, then all is well
Sent using Jamii Forums mobile app
Rowin Daby
better find a room if u know each other.
Thanks for the company pals
Sent using Jamii Forums mobile app
Yupo namba T 982 AAA ni dm nikuunganishe kama anakufaa ni PhD holder ana kazi nzuri bahati mbaya hajajaliwa sura na shepu.Habari JF
Nimeona vyema kuongea hapa kwa walio single basi tuelewane
Nina imani mke mwema anapatikana kokote tu. Haijalishi mtandaoni au mtaani, ile kasumba ya wanawake wa mtandaoni ni wasumbufu, sikubaliani nayo!
Mimi ni kijana wa miaka 25-30,
Nafanya kazi ya ulinzi tu, kwa hio kipato changu kiko fixed sana.
Laki 2 tu kwa mwezi
Mimi ni mrefu, mwembamba, sina kitambi wala sina mpango wa kuwa nacho
Nahitaji mwanamke atakaeweza kuwa nami tuendeleze maisha.
Mwanamke yeyote ambaye hataleta dharau juu ya kazi yangu wala mshahara
Mwanamke mvumilivu, mshauri mzuri na pia wife material.
Umri asizidi miaka 25
Mengineyo tutaelezana faragha
Tuwasiliane PM
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitafanya hivyo soonUnamwacha haraka kabla hayajaharibika.
sawa bro
nimeona lakini Rowin aliwahi tafuta mwenza back then
if it is you, then all is well
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti unanijua?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Ndio kujiongeza mkuu