Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Sawa mchumba mashart yamenishinda...Mtegemezi full hapana kwa kweli. Mimi nataka wa kuegeshana nae tu. Tunaemjoy maisha, gharama za hapa na pale sio ishu, ila utegemezi full, no.
Fungulia mbwa inaitwa hii na ndio njia rahisi maana lasivo ni maumivu wape offer elekezi tafuna mbususu wasepeHabari wana JamiiForums.
Mimi ni mwanaume nina 33 yrs, nipo Dar, ni muajiriwa katika shirika fulani lisilo la kiserikali. Ishu kubwa inayonikabili ni upweke.
Natafuta mwanamke wa kula nae maisha, awe ndani ya Dar es salaam. Awe smart na mchangamfu, asiwe tegemezi, awe ni muelewa na mwenye exposure juu ya masuala mbalimbali. Mimi ni mpweke sana na mara nyingi huwa nakosa company.
Nahitaji mwanamke ambae anaweza kunipa company na pia tukawa tuna enjoy na pia kuliwazana. Sitafuti mahusiano ya muda mrefu, bali kupeana raha na company tu hapa na pale. Awe na umri wa kati ya miaka 19-33.
Tutapima magonjwa kama HIV, magonjwa ya ngono kabla ya kufanya chochote.
Check me PM tudiscuss zaidi kama una interest, na kama tutaelewana basi mengine yatafuata.
Ni shidaaaaUkilala ubavu inakua umempa mto
Ok.Sawa mchumba mashart yamenishinda...
Namuonea raha utakaempata, kila laheri
Waekee offer mezani kabisa maana kwao ni ajira siku izi kuanzia stage performance mpaka kutua mbususuHabari wana JamiiForums.
Mimi ni mwanaume nina 33 yrs, nipo Dar, ni muajiriwa katika shirika fulani lisilo la kiserikali. Ishu kubwa inayonikabili ni upweke.
Natafuta mwanamke wa kula nae maisha, awe ndani ya Dar es salaam. Awe smart na mchangamfu, asiwe tegemezi, awe ni muelewa na mwenye exposure juu ya masuala mbalimbali. Mimi ni mpweke sana na mara nyingi huwa nakosa company.
Nahitaji mwanamke ambae anaweza kunipa company na pia tukawa tuna enjoy na pia kuliwazana. Sitafuti mahusiano ya muda mrefu, bali kupeana raha na company tu hapa na pale. Awe na umri wa kati ya miaka 19-33.
Tutapima magonjwa kama HIV, magonjwa ya ngono kabla ya kufanya chochote.
Check me PM tudiscuss zaidi kama una interest, na kama tutaelewana basi mengine yatafuata.
Maelewano tutayafanya PM mkuuWaekee offer mezani kabisa maana kwao ni ajira siku izi kuanzia stage performance mpaka kutua mbususu
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Ashapata au bado?Anatafutwa wa kuliwa kimasihara.....
Bado mkuu... Karibu kama uko interestedAshapata au bado?
Bado mkuu... Karibu kama uko interested
Bado dear....hebu ongea na kijana mwenzakoAshapata au bado?
Bado dear....hebu ongea na kijana mwenzako
Labda cha kukukumbusha tu ana "wingu" la miezi mitatu....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo naongea nae tuyajenge.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Labda cha kukukumbusha tu ana "wingu" la miezi mitatu....
So jitahidi kufupisha maongezi
Kwaheri 😂 ngoja nikupe nafasi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona balaa sasa!
Nafasi ya?Kwaheri [emoji23] ngoja nikupe nafasi
Kuongea nae....Nafasi ya?
Tumeshayajenga tayari.Kuongea nae....
Kuyajenga
Karibu PM mama, nakungoja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo naongea nae tuyajenge.