Natafuta mwanamke wa kuenjoy maisha

Natafuta mwanamke wa kuenjoy maisha

Nadhani atakua bado....

Ila hizi mambo za kujificha na new id zinatukosesha fursa, usikute huyu shemela ni mwamba flani ninaemuelewaga kinoma hadi natamani aseme suuuu....sasa hii sijui ndio yeye sijui siye!
Ni mimi, sema nimekuja na ID mpya, je bado unatamani niseme su?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Miaka 33 Nilikuwa ninamiaka 12 kwenye kazi Private sector.nilikuwa na mke na watoto wawili wenye miaka sita.....Sikuwa na muda wa kuchezea Kwa umri huo
 
Miaka 33 Nilikuwa ninamiaka 12 kwenye kazi Private sector.nilikuwa na mke na watoto wawili wenye miaka sita.....Sikuwa na muda wa kuchezea Kwa umri huo
Kila mtu ana pace yake kwenye maisha mkuu. Usilazimishe kila mtu aende kwa pace yako. Usiwe kama motivesheno spikaz feki.
 
Nadhani atakua bado....

Ila hizi mambo za kujificha na new id zinatukosesha fursa, usikute huyu shemela ni mwamba flani ninaemuelewaga kinoma hadi natamani aseme suuuu....sasa hii sijui ndio yeye sijui siye!
Kkkkkkkkk dah natamani nicheke kwa voice note umetisha dadake
 
Back
Top Bottom