Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa umeshapata wangapi?Haina shida. Njoo PM kama uko serious tuyajenge.
Mkuu hapo sawa, kabisa utakua umekidhi vigezo,mi nipo ila mke wa mtu 😀
Starehe gharama nalijua hilo. Ndio maana nimesema nitalipia costs za starehe. Costs nisizozitaka ni zile mtu anakugeuza baba yake anakuomba hadi hela ya kula kila siku yeye ni kuomba hela tuSasa si ndio ubahili wenyewe huo? starehe gharama jomba ama sivyo utajikuta unakua mpweke na kukosa company maisha yako yote.
Una maanisha aendelee tu kufua kwa mkono maana gharama za kununua washing machine zimemshinda?Nashauri aendelee tu kujichukulia sheria mkononi (nyeto) .....
Wewe utakua wa kwanza.sasa umeshapata wangapi?
weee hunitakii mema🙄Mkuu hapo sawa, kabisa utakua umekidhi vigezo,
Firstly una exposure na experience ya mambo mengi.
Secondly, sio mtu wa miamala sana.
Kila la kheri mkuu, utuletee mrejesho baadae.....
mmmh haya nachange ID nakujaWewe utakua wa kwanza.
Una shida na hilo?Id mpyaa
Okay sawa....kila laheri ukimpata usitusahau mrejesho, uturingishie maraha unayopewaNitahudumia gharama za fun na pia pale tutakapoelewana kulingana na huduma. Ila utegemezi isiwe ile kila siku mtu anapiga simu kuomba hela mara ya kusuka mara ya gesi mara sijui mafuta.
Hana shida, habagui hachagui....mi nipo ila mke wa mtu 😀
Sheria mkononi shida sana. Upweke unanimaliza.Nashauri aendelee tu kujichukulia sheria mkononi (nyeto) .....
ukiitiwa fursa ujue wewe ndo fursaKamata fursa hiyo.
😀
Shida ipo, unajizibia rizki mkuu....Una shida na hilo?
haogopi kutatuliwa?Hana shida, habagui hachagui....
Hahaha mkuu fursa hiyo.....weee hunitakii mema🙄
Mkuu unaninyanyasa kweli kweli. Mimi ni mtu mkimya sana na mtaratibu kiukweli. Mtu wangu permanent yuko Mwanza huko. I really wish ningeweza kupata mdada ambae tungepeana raha tu na kuenjoy maisha kunipunguzia upweke bila kuwa na future expectations za mahusiano permanent.Okay sawa....kila laheri ukimpata usitusahau mrejesho, uturingishie maraha unayopewa
Aaaaah okay sasa umeeleweka kumbe unataka mchepuko tu wa kupunguza punguza hamu za hapa na pale nikajua maswala serious....Sheria mkononi shida sana. Upweke unanimaliza.
Nina mtu wangu permanent sema yeye yuko Mwanza anafanya kazi huko, sasa mara nyingi huwa nakua mpweke sana kiukweli.