Wewe huwezani na kila mwanamke na ndio maana wanawake wa mtaani kwako, kazini, kijijini kwenu na njiani umeshindwana nao sasa unataka wa jf utatuweza wapi?Nimejibu maksudi, huyu Lamomy ni km ww TU kamwe hututowezana, Sasa swali aliloniuliza napoteza muda wangu TU.
Mbona kama unakariri maisha mkuu, alafu wapi nimeandika Nina mke??, Aya tufanye Nina mke( kwa mawazo Yako madogo hayo ) Kuna shida kuongeza mke wa pili kama dini yangu inaruhusu??. Tumia akili sawa?Nimekuuliza wewe mwenye uzi na unayetafuta mke wakati ulijishaua unaye..!!
Kweli wewe betri limevimba ulijishongondoa siku ile kumbe ulikuwa unatafuta kiki kwenye uzi wa Mariposa??
Kwa akili gani unazomiliki? πΉπΉMbona kama unakariri maisha mkuu, alafu wapi nimeandika Nina mke??, Aya tufanye Nina mke( kwa mawazo Yako madogo hayo ) Kuna shida kuongeza mke wa pili kama dini yangu inaruhusu??. Tumia akili sawa?
Inawezekana nikagonga 29 bila kupata mtu wa kunionea huruma?π€
Mkuu, sema ww ndio hatutawezana acha kujumuisha wengine,, hata hivyo nilishaweka bayana Toka hapo mwanzo mbona.Wewe huwezani na kila mwanamke na ndio maana wanawake wa mtaani kwako, kazini, kijijini kwenu na njiani umeshindwana nao sasa unataka wa jf utatuweza wapi?
Tatizo trump kazuia USAID mkuuKikao cha KATAA NDOA tutakufunga na kamba kwenye kiti kilicho karibu na speakers ili usikie na kuelewa vizuri...
Kataa Ndoa uimarike kiuchumi... Ndoa ni wizi upuuzi ushamba uoga utoto ushenzi ushetani umasikini magonjwa na kupoteza muda... Sasa wewe cha ajabu unatafuta matatzo
Duh! kazi ipo?Chaliifrancisco Doctor G mnaona kazi hii!
Mi mshangazi niliyekomaa, unaniita huku kufanya nini ndugu yangu π€£π€£π€£π€£.Theresa49 na jamvi la wanawake mnaitwa huku, kweli mkose mwali hata mmoja π
Soko limejaa ma singo maza kama mtoto watamficha kwa bibi kwanzaNina uhitaji wa mwanamke umri usiozidi miaka 30.
Awe na uwezo wa kusimamia biashara, asiwe single Maza, nipo serious. Karibuni
DuhNina uhitaji wa mwanamke umri usiozidi miaka 30.
Awe na uwezo wa kusimamia biashara, asiwe single Maza, nipo serious. Karibuni
Mimi nishakuwa mshangazi nimewaachia vijana
Fursa ya kusimamia biashara?
Kuolewa bwana wewe besy mbona wakava fuvu π€£π€£π€£Fursa ya kusimamia biashara?
Kwa hiyo mshangazi TTT zote zipo. Basi mie nakuja kwakoMimi nishakuwa mshangazi nimewaachia vijana
Domo zege mzigoniNina uhitaji wa mwanamke umri usiozidi miaka 30.
Awe na uwezo wa kusimamia biashara, asiwe single Maza, nipo serious. Karibuni
πππKwa hiyo mshangazi TTT zote zipo. Basi mie nakuja kwako