Natafuta mwanamke wa kunizalia

Ilaaa bongo ukifa na stress umejitakia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mi kuna wanawake kama 9 hivi nishakutana nao wako financial stable hawahitaji ndoa wanahitaji watoto tu… sasa we kudhani kila mtu ana ndoto ya kuolewa ni makosa makubwa sana unaifanyia akili yako
Kwann usizae nao hao basi mkuu?
Mpk uje uhangaike huku?
 
Miaka 20 mkuu ndo hivi vinavaa viatu vyenye manyoya ya masufi halafu ndonhivi vinaiiona vizuri vyenyewe tu dunia nzima na visumbufu balaa unakuta kana wanaume 15 kinafanya kuzungukia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…