Natafuta mwanamke wa kuoa

Natafuta mwanamke wa kuoa

Awe ni mkristo wa dhehebu lolote au muislamu,mimi binafsi ni mkristo Nina miaka 43,nipo hapa Tanzania natafuta single mama yoyote ambaye anahitaji mtu wa kumfariji na kujenga familia stable, pia asiwe mpenda vileo ,pombe bangi au sigara. Awe pia mtu aneyejishughulisha katika kazi zenye heshima au ujasiriamali wa aina yoyote ule.awe tuu ni mtz wa kabila lolote. Mimi sio tajiri ,Wala sio fukara kabisa

kkama utakuwa interested karibu pm ila uwe tayari kupima afya pia, natanguliza shukrani zangu za dhati
Ulipokuwa kijana ulisema Kataa Ndoa....maji yamefika shingoni unatafuta Japo Single mama.

Kila la kheri ndugu.
 
Akioa kwa sababu ya huruma zaidi atakuwa amejichanganya zaidi maana sio wote wa design hiyo huwa na upendo wa dhati, wengine hukubali ili kujikinga mvua....akipata anakuwa zuwena cha woooteee
Ndoa zinazooza mwezi mmoja baada ya kutoka ukumbini ni zile zachips kuku na bia bardii. Huyu mdada amepigika na jua akimpata mtu hatamfanyia vituko ili arudi barabarani, tayari kesha pitia darasa la kujitambua.
 
Ndoa zinazooza mwezi mmoja baada ya kutoka ukumbini ni zile zachips kuku na bia bardii. Huyu mdada amepigika na jua akimpata mtu hatamfanyia vituko ili arudi barabarani, tayari kesha pitia darasa la kujitambua.
Tumeshaziona ndoa za kuoneana huruma nazo hazidumu labda tu upendo kati yao.....kumsaidia mtu sababu ya shida zake sio lazima akulipe wema kama uliomtendea eti akupende, wakishapata wanasahaugi tena faster na kumliza mwanaume juu tusidanganyanyane mambo ya zubeda wa prof Jay yapoooo
 
Nim
Awe ni mkristo wa dhehebu lolote au muislamu,mimi binafsi ni mkristo Nina miaka 43,nipo hapa Tanzania natafuta single mama yoyote ambaye anahitaji mtu wa kumfariji na kujenga familia stable, pia asiwe mpenda vileo ,pombe bangi au sigara. Awe pia mtu aneyejishughulisha katika kazi zenye heshima au ujasiriamali wa aina yoyote ule.awe tuu ni mtz wa kabila lolote. Mimi sio tajiri ,Wala sio fukara kabisa

kkama utakuwa interested karibu pm ila uwe tayari kupima afya pia, natanguliza shukrani zangu za dhati
 
Back
Top Bottom