Natafuta Mwanamke wa kuzaa nae tu!

unakimbilia nini kwenye ndoa kwa umri uo?
miaka 24-35 kula life kwanza mabinti wapo tu.
ishi mwenyewe kwanza ukipata nyege mshindo kamata visunguratope apo kitaa maisha yanasonga
au unataka uanze kupangiwa muda wa kurudi nyumbani?
 
unakimbilia nini kwenye ndoa kwa umri uo?
miaka 24-35 kula life kwanza mabinti wapo tu.
ishi mwenyewe kwanza ukipata nyege mshindo kamata visunguratope apo kitaa maisha yanasonga
au unataka uanze kupangiwa muda wa kurudi nyumbani?
Bloo Soma vizuri nilichoandika kamwe sitaki ndoa wala mahusiano mimi nataka mwanamke mrembo anizalie mtoto tu
 
Ndio kwanza una 25yrs🙄.

Anyways hivi wakuu hakuna namna mtu anaweza kuwashitaki madaktari kwa kusababisha kifo cha mtu kwa uzembe?,.
Elezea kwa kina tukio lilivyo, ni uzembe wa namna gani ili upate msaada.
 
Hivi jamani leo Tanzania ni holiday?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…