Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
We boya Kuna fonts 😂😆pamoja na muandiko wako wa kiupole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We boya Kuna fonts 😂😆pamoja na muandiko wako wa kiupole
Nipigie.acha basi
sema kweli
Rekebisha hapo mkuu me ni ke sio meShukran bloo
Tangu lini Mwanamume akawa BYUTFULU 🥺🥺Mweupe na beautiful
Soma vizuri usikurupuke sistaTangu lini Mwanamume akawa BYUTFULU 🥺🥺
Ww ndo usome vzuri ulichoandika!!Soma vizuri usikurupuke sista
Sista kama vigezo unavyo njoo pmWw ndo usome vzuri ulichoandika!!
Asante blooKila la kheri mkuu
Bro upo sahihi sana Mimi ki hadi sasa nina mtoto mmoja ambae nilimpata nikiwa form 2 kipindi hicho nasoma na kwa sasa nimeamua kupata mtoto mwingine na nimetaja sifa hizo ili mtoto awe mzuri kama mwenzake wa kwanza,,, kifupi kila mtu na machaguo yake
Yaaaah mkuu yan ukiwa wa kiume jaribu kupambana kutimiza ndoto zako sababu hakuna mtu anaekujali moja kwa moja, asije mwanamke akasema tutatimiza ndoto pamoja utapotea...NO BODY CARES ABOUT YOU , NO BODY GIVES A DAMN ABOUT WHAT YOUR DOING, They will talk about you for a bit and they will start minding their own business, so when your dealing with your dealing, like pursuing your dreams don't give a damn f what people say, you on your beast mode and do what is going to make you the best, leave these bitch3z alone they are going to spend a lot of your time and money. Keep your money to your self, ukiwa unataka kutimiza ndoto zako unatakiwa uwe katili mambo ya huruma huruma yameangusha vijana wengi sanaaaa.Si umeona anajiita Tumbili wa mjini akifanya mistake hiyo Anakwenda kuwa Tumbili wa Kijijini.
Nilijifunza hizi relationships usipokua makini zinaharibu Visions za vijana wengi... ndoto zinakufa kabisa!
Mzee wa You will never walk alone upo? Hahaha bado unasimamia msimamo wako ?Changamoto humu ndani mtu akigoma kuoa anaonekana falaa wakati walioa wanamachungu yao kibaoo ya kutombew(a)..!!
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Eti "nkimpampu" hawa vijana wa 2000 ni tatizoWewe akili huna bwana katafute kazi ya kufanya ukafanye.
Utoto tu!!!
Ndio blooForm two ulikua. Na umri gani kama sio 15
Bloo kwani hujaelewa kitu?Eti "nkimpampu" hawa vijana wa 2000 ni tatizo
Kweli mkuu. Bora tu kuishi kama Chrstiano Ronaldo. Mawives wanasumbua sana.Kuoa ni UFAL(A) Mkubwa sanaaa
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Bloo natafuta mwanamke mzuri ili watoto wasijekunialaumu baadaeEbu tafuta msichana hapo kazini, au mtaani date nae three months serious akikubal........
cheza rough zote asipopata mimba within fukuza
zingatia ushauri niliokupa utampataBloo natafuta mwanamke mzuri ili watoto wasijekunialaumu baadae