Natafuta Mwanamke wa kuzaa nae tu!

Natafuta Mwanamke wa kuzaa nae tu!

kijana tafuta mke mzuri, mpole, anajua mapenzi, anajali, anajua kupika, anajua kufua, anajielewa owa weka ndani achana na hii biashara ni ya umalaya je unataka kuwa malaya ?
 
Kuna wazazi wana hasira sana kwenye huu uzi.
Mnatoa malezi mabaya kwa mabinti zenu alafu mnataka waolewe.

Msichana wa secondary anavaa sketi inaishia juu ya magoti alafu mzazi yupo busy na mambo yake. Mtoto Kama huyu akifika chuoni ndiyo atazidi kuharibikiwa zaidi.

Mtoto analalwa na boda boda, mzazi hata hajali, hafuatilii na kujua kwanini binti yake anafanya hivyo. Yeye mwenyewe hawajibiki Kama mzazi, yupo yupo tu. Alafu akisikia kijana anakataa kuoa anaanza kufoka.

Ninyi mnataka nani aoe hayo majipu yenu yaliyoiva.
 
Nina 25 years, nimeajiriwa ni mrefu, mweupe kiasi nahitaji mwenyewe sifa zifuatazo:
19 to 32 years
Mweupe na beautiful
Mrefu kiasi
Sio mnene wala mwembamba sana
Mwenye dimpoz
Awe tayari kushiriki tendo
Mwenye kujua kulea mtoto


Nitamtunza kila kitu kuanzia ujauzito mpaka mtoto akifikisha 3 years nitatoa hela shillingi milioni tano cash
Sihitaji ndoa wala mahusiano

Kama una vigezo njoo pm au mshirikishe rafiki yako/dada yako
Mi nakushauri ungeenda maabara tu ukaumbe wakwako
 
Back
Top Bottom