Natafuta Mwanamke wa kuzaa nae tu!

Natafuta Mwanamke wa kuzaa nae tu!

Ina wezekana, ila mpaka mgundue kuna mistake ili fanyika.

Mfano dokta kulewa au kutokuwa katika utimamu wake wa kazi.
DR Mambo Jambo, Dr am 4 real PhD
Kuna story moja mama alijifungua watoto mapacha na hata WAKATI wa vipimo ilionyesha ni mapacha.

Mama akakabidhiwa MTOTO mmoja..mumewe akachachamaa... huwezi amini MTOTO mmoja hakupatikanaa

Jamaa akaita press akaanza kuongea na waandishi wa habari hii taarifa ipo hata YouTube jaribu ku I search

Inasemwa hii issue mpaka waziri wa afya alimfuata jamaa anyamaze jamaa akawa hataki kukubali...waziri akamwambia UNAJUA HII ISSUE YAKO IKIENDA VIRAL italeta shida na kujua trust ya hospital na huduma za afya Tanzania so anatakiwa anyamaze..

Ni story ndeefu Sanaa na hapa nipo busy kiasi nikipata wasaa ntaandika zaidi..
 
Nina 25 years, nimeajiriwa ni mrefu, mweupe kiasi nahitaji mwenyewe sifa zifuatazo:
19 to 32 years
Mweupe na beautiful
Mrefu kiasi
Sio mnene wala mwembamba sana
Mwenye dimpoz
Awe tayari kushiriki tendo
Mwenye kujua kulea mtoto


Nitamtunza kila kitu kuanzia ujauzito mpaka mtoto akifikisha 3 years nitatoa hela shillingi milioni tano cash
Sihitaji ndoa wala mahusiano

Kama una vigezo njoo pm au mshirikishe rafiki yako/dada yako
Mkuu mm nina dada yangu anahitaji kuzalishwa lakini ni mke wa mtu. Je, hizo 5M utampa baada ya kumpachika mimba au ni kabla ya mimba? Yeye anatamani umpe hizohela kabla ya mimba ili aanze kufanya biashara ikwa kuwa akiwa mjamzito atakuwa analea mumba tu. Naomba jibu.
 
Changamoto humu ndani mtu akigoma kuoa anaonekana falaa wakati walioa wanamachungu yao kibaoo ya kutombew(a)..!!

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Yameisha nduguyangu tunatofautiana mitazamo Mimi mwenyew kataa ndoa Tena niliona nafas ya mweka hazina
Suala l kutoa maoni sijaona ubaya wa kutofautiana mitazamo kwenye baadhi ya mambo ndio ubinadamu ulivo
 
Kuna story moja mama alijifungua watoto mapacha na hata WAKATI wa vipimo ilionyesha ni mapacha.

Mama akakabidhiwa MTOTO mmoja..mumewe akachachamaa... huwezi amini MTOTO mmoja hakupatikanaa

Jamaa akaita press akaanza kuongea na waandishi wa habari hii taarifa ipo hata YouTube jaribu ku I search

Inasemwa hii issue mpaka waziri wa afya alimfuata jamaa anyamaze jamaa akawa hataki kukubali...waziri akamwambia UNAJUA HII ISSUE YAKO IKIENDA VIRAL italeta shida na kujua trust ya hospital na huduma za afya Tanzania so anatakiwa anyamaze..

Ni story ndeefu Sanaa na hapa nipo busy kiasi nikipata wasaa ntaandika zaidi..
Uwiii Jamani
 
𝙳𝚊𝚑 𝚍𝚞𝚗𝚒𝚊 𝚒𝚖𝚎𝚒𝚜𝚑𝚊, 𝚠𝚎𝚠 𝚔𝚒𝚓𝚊𝚗𝚊 𝚑𝚒𝚟𝚒 𝚠𝚊𝚣𝚊𝚣𝚒 𝚠𝚊𝚔𝚘 𝚠𝚊𝚗𝚐𝚎𝚔𝚞𝚣𝚊𝚊 𝚑𝚒𝚟𝚒 𝚞𝚗𝚐𝚎𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚠𝚊𝚙𝚒 𝚜𝚊𝚜𝚊 𝚑𝚒𝚟𝚒, 𝚊𝚞 𝚑𝚞𝚗𝚊 𝚍𝚊𝚍𝚊 𝚠𝚎𝚠𝚎 𝚑𝚊𝚝𝚊 𝚞𝚠𝚎 𝚗𝚊 𝚑𝚎𝚜𝚑𝚒𝚖𝚊 𝚔𝚒𝚍𝚘𝚐𝚘, 𝚔𝚞𝚊𝚓𝚒𝚛𝚒𝚠𝚊 𝚔𝚒𝚍𝚘𝚐𝚘 𝚞𝚖𝚎𝚜𝚑𝚊𝚙𝚊𝚝𝚊 𝚔𝚊𝚜𝚊𝚞𝚝𝚒 .
𝚉𝙸𝙽𝙰𝙰 𝙸𝙼𝙴𝙺𝚄𝚆𝙰 𝙽𝚈𝙴𝙿𝙴𝚂𝙸 𝚂𝙸𝙺𝚄 𝙸𝚉𝙸, 𝚄𝙽𝙰𝚃𝙰𝙺𝙰 𝙷𝚄𝚈𝙾 𝚄𝚃𝙰𝙺𝙰𝙴 𝙼𝙿𝙰 𝙼𝙸𝙼𝙱𝙰 𝙰𝙾𝙻𝙴𝚆𝙴 𝙽𝙰 𝙽𝙰𝙽𝙸, 𝙷𝙰𝚆𝙰 𝚅𝙸𝙹𝙰𝙽𝙰 𝙽𝙳𝙸𝙾 𝚆𝙰𝙺𝚄𝚃𝙰𝙽𝙳𝙸𝙺𝙰 𝙱𝙰𝙺𝙾𝚁𝙰 𝙷𝙰𝙳𝙷𝙰𝚁𝙰𝙽𝙸
 
Kuna story moja mama alijifungua watoto mapacha na hata WAKATI wa vipimo ilionyesha ni mapacha.

Mama akakabidhiwa MTOTO mmoja..mumewe akachachamaa... huwezi amini MTOTO mmoja hakupatikanaa

Jamaa akaita press akaanza kuongea na waandishi wa habari hii taarifa ipo hata YouTube jaribu ku I search

Inasemwa hii issue mpaka waziri wa afya alimfuata jamaa anyamaze jamaa akawa hataki kukubali...waziri akamwambia UNAJUA HII ISSUE YAKO IKIENDA VIRAL italeta shida na kujua trust ya hospital na huduma za afya Tanzania so anatakiwa anyamaze..

Ni story ndeefu Sanaa na hapa nipo busy kiasi nikipata wasaa ntaandika zaidi..
lazima niki washe, watu wapuuzi Sana.
 
Nina 25 years, nimeajiriwa ni mrefu, mweupe kiasi nahitaji mwenyewe sifa zifuatazo:
19 to 32 years
Mweupe na beautiful
Mrefu kiasi
Sio mnene wala mwembamba sana
Mwenye dimpoz
Awe tayari kushiriki tendo
Mwenye kujua kulea mtoto


Nitamtunza kila kitu kuanzia ujauzito mpaka mtoto akifikisha 3 years nitatoa hela shillingi milioni tano cash
Sihitaji ndoa wala mahusiano

Kama una vigezo njoo pm au mshirikishe rafiki yako/dada yako
Naona umekuja kutuchekesha
 
Uzembe upi labda?
Mtoto alikua na kikohozi kikali wakampima wakasema ana Tuberculosis na wakaanza kumchoma sindano na dawa za Tb alipewa,within three days alikua haonyeshi dalili za kupona wakarudi tena kwenye vipimo kumbe ilikua kichomi,. Hali ya mtoto ilikua sio nzuri wakasema sababu ni over-dorsage,. Mtoto amefariki wakati wakiwa wanashughulikia suala la kumuoverdose before aanze treatment za kichomi.

She was only 2yrs,. How comes madaktari wanashindwa kusoma majibu ya vipimo au shida huwa ni vifaa tiba au kitu gani
 
Haya mademu yene matako makubwa akili kichwani hamna, jamaa mmoja nlimkataza asizae na lile janamke akazaa nalo saivi linasumbua ile mbayaaa kabisa, ulichosema mkuu ni sure kabisa yan hakuna rangi ataacha kuona, wanawake wakibongo bwana hawajuagi wanataka nini, they be trippin all the time...
Si umeona anajiita Tumbili wa mjini akifanya mistake hiyo Anakwenda kuwa Tumbili wa Kijijini.
Nilijifunza hizi relationships usipokua makini zinaharibu Visions za vijana wengi... ndoto zinakufa kabisa!
 
Mtoto alikua na kikohozi kikali wakampima wakasema ana Tuberculosis na wakaanza kumchoma sindano na dawa za Tb alipewa,within three days alikua haonyeshi dalili za kupona wakarudi tena kwenye vipimo kumbe ilikua kichomi,. Hali ya mtoto ilikua sio nzuri wakasema sababu ni over-dorsage,. Mtoto amefariki wakati wakiwa wanashughulikia suala la kumuoverdose before aanze treatment za kichomi.

She was only 2yrs,. How comes madaktari wanashindwa kusoma majibu ya vipimo au shida huwa ni vifaa tiba au kitu gani
Kipindi before Corona uncle wangu gafla alipata shida ya kupumua na haikua coronaa ingekua enzi za korona angezaniwa ni corona pengine angesha fariki
 
Nina 25 years, nimeajiriwa ni mrefu, mweupe kiasi nahitaji mwenyewe sifa zifuatazo:
19 to 32 years
Mweupe na beautiful
Mrefu kiasi
Sio mnene wala mwembamba sana
Mwenye dimpoz
Awe tayari kushiriki tendo
Mwenye kujua kulea mtoto


Nitamtunza kila kitu kuanzia ujauzito mpaka mtoto akifikisha 3 years nitatoa hela shillingi milioni tano cash
Sihitaji ndoa wala mahusiano

Kama una vigezo njoo pm au mshirikishe rafiki yako/dada yako
Utoto unakusumbua dogo. Acha wenge, utakuja kuliwa nyama wewe.

Kaa hadi miaka 32 wenge liishe then utafute mke, siyo mwanamke wa kuzaa naye tu.
 
Ndio kwanza una 25yrs[emoji849].

Anyways hivi wakuu hakuna namna mtu anaweza kuwashitaki madaktari kwa kusababisha kifo cha mtu kwa uzembe?,.
Mbona umeongea kama 25 yrs sio umri wakua na mtoto ivi.
 
Back
Top Bottom