Natafuta mwanamke wa kuzaa naye

Natafuta mwanamke wa kuzaa naye

mzabzab

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2011
Posts
41,878
Reaction score
81,593
Male 42, natafuta mwanamke wakuzaa nae japo na mie niitwe baba.

Huduma zote kuanzia mimba inapoingia mpaka kujifungua na malezi ya mtoto na mama yote juu yangu.

Mwanamke awe tayari kushika mimba kabla ya mwaka huu kuisha.
 
Male 42, natafuta mwanamke wakuzaa nae japo na mie niitwe baba.
Huduma zote kuanzia mimba inapoingia mpaka kujifungua na malezi ya mtoto na mama yote juu yangu.

Mwanamke awe tayari kushika mimba kabla ya mwaka huu kuisha.
🤠🤠🤠 Jobless mwenzangu naona umechoka kuishi bila katoto, ukipata wengi na mie niunge na mmoja nipate mtoto hata mmoja, na mie niitwe baba. Umri unatutupa alafu tupo kwa wazazi, maaha hata madogo myumbani yanaona tunalingana
 
Back
Top Bottom