Natafuta mwanamke wa kuzaa naye

Natafuta mwanamke wa kuzaa naye

Male 42, natafuta mwanamke wakuzaa nae japo na mie niitwe baba.

Huduma zote kuanzia mimba inapoingia mpaka kujifungua na malezi ya mtoto na mama yote juu yangu.

Mwanamke awe tayari kushika mimba kabla ya mwaka huu kuisha.

Yani hawa ndo wanaume? The fact kwamba umemkosa kote kunaonyesha jinsi Una matatizo, mjinga tu, and desperate will fall into this trap
 
Mkuu umepuyanga sana hadi kufikia 42yrs hata wakusingiziwa hauna sio bure utakua na tatizo
 
Wamakataaa wanasea eti tufunge ndoa...mie sitaki ndoa nataka mtoto tuu niitwe na mie baba

Kamwambia Mama yako, anaweza kukwambia uko wenu Una shida gani!

Kwani :

  • mtaani
  • kazini
  • kanisan/msikitin


Kote umekosa wa kuzaa Naye! Mzima kweli wewe?
 
🤠🤠🤠 Jobless mwenzangu naona umechoka kuishi bila katoto, ukipata wengi na mie niunge na mmoja nipate mtoto hata mmoja, na mie niitwe baba. Umri unatutupa alafu tupo kwa wazazi, maaha hata madogo myumbani yanaona tunalingana
Aisee bwana lazima huu mwaka nitie mtu mimba ili niitwe baba sio utani. Sio kila leo nakojolea nje tuu
 
Wao tuu wanachukulia kama jokes lakini ukweli mie kwa sasa nimejikhta nina hamu sana ya kuwa baba.
Nini kinakufanya usioe mkuu?

Mbona ndoa tamu sana...

Huyo mtoto utakayempata hautaenjoy the feeling of making bond with him/her sababu atakuwa na mama yake most of time.

Raha ya mtoto ni akue ukiwa unamuona daily.
 
Back
Top Bottom