National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
😊😊 Ukipata wa nyongeza nifanyie wepesi na mie..Aisee bwana lazima huu mwaka nitie mtu mimba ili niitwe baba sio utani. Sio kila leo nakojolea nje tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😊😊 Ukipata wa nyongeza nifanyie wepesi na mie..Aisee bwana lazima huu mwaka nitie mtu mimba ili niitwe baba sio utani. Sio kila leo nakojolea nje tuu
Kuoa sitaki kwa sababu nitamtesa tuu mrembo wa watu. Najijua mwenyeweNini kinakufanya usioe mkuu?
Mbona ndoa tamu sana...
Mpaka nimefikia hapa ujue nilishajaribu shida inakuja kwamba wanataka ndoa. Moe siwezi mambo ya ndoa.Si uchague mmoja kati ya mbususu unazo chakata kila siku? Au mwenzetu unatupigaga fix
Atajisifia kuwa anawezaEmbu ngoja atujibu🤣🤣
Kuoa sitaki kwa sababu nitamtesa tuu mrembo wa watu. Najijua mwenyewe
Mie naaminika mbona sema ndio ukubaliane nami kuwa ndoa hamna tunakuwa wazazi tuuEmbu ngoja atujibu🤣🤣
Wee mie nataka mwqanamke responsible ambaye najua anaweza lea mtoto vizuri. Bae maid sii mtoto nitakuta anagonga pombe au ndio kawekwa pembeni mama yake anagegedwa. Nataka a decent ladyKaoe bar maid, wala hamtakwaruzana.
Au tafuta kicheche mwenzio ili muendane kitabia.
we umetoa mimba nyingi sidhani kama utashika mimba ya huyu jamaaHuyu mtu ana aminika kweli? Nataka nijilipue nishaurini
Ni kweli.we umetoa mimba nyingi sidhani kama utashika mimba ya huyu jamaa
Hiyo profile picture hapo umetamanisha mrembo 😛Umepiga mahesabu fresh maana unapostaafu na 60 mwanao atakuwa form five Ivo six na college atasomea kiinua mgongo
Hatari sana, utupe mrejeshoHuyu mtu ana aminika kweli? Nataka nijilipue nishaurini
Maradhi ni mitihani ambayo kila mja hupitia na wengine huvuka mitihani hiyo na wengine huwaondoa......Huu umri wa 40+ magonjwa nyemelezi ni mengi tezidume,kisukari, kukosa nguvu za kijinsia na presha so jiandae kuchapiwa
Nyoooo nani wa kuzalishwa kama dogiiKuoa sitaki kwa sababu nitamtesa tuu mrembo wa watu. Najijua mwenyewe
Kama wee hutaki sawa....ila mie nachojua ni kwamaba nahitaji kuwa baba now. Suala la dogii hilo umeliona wewe. Mie nitahakikisha huduma zote mama na mtoto wanapataNyoooo nani wa kuzalishwa kama dogii
Wee mie nataka mwqanamke responsible ambaye najua anaweza lea mtoto vizuri. Bae maid sii mtoto nitakuta anagonga pombe au ndio kawekwa pembeni mama yake anagegedwa. Nataka a decent lady
Ipo siku utakuja hapa kusema unatafuta mke. Trust me broMpaka nimefikia hapa ujue nilishajaribu shida inakuja kwamba wanataka ndoa. Moe siwezi mambo ya ndoa.
Jamani ndio umenibwaga tena....aee sii ndio mke mkubwa ama umebadili gear anganiIpo siku utakuja hapa kusema unatafuta mke. Trust me bro
Bado nakutafakari tuliaJamani ndio umenibwaga tena....aee sii ndio mke mkubwa ama umebadili gear angani