Nobunaga
JF-Expert Member
- Mar 22, 2019
- 1,205
- 5,121
Hajui ukishaoa tuu mbususu zinaanza kumwagika zenyewe, sijui kwa nini😂😂😂Acha uoga wewe.
Walio kwenye ndoa ndo wanaongoza kwa kula mbususu kuliko ambao hawajaoa...waulize wenzako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajui ukishaoa tuu mbususu zinaanza kumwagika zenyewe, sijui kwa nini😂😂😂Acha uoga wewe.
Walio kwenye ndoa ndo wanaongoza kwa kula mbususu kuliko ambao hawajaoa...waulize wenzako
Na sie wadada tunapenda wanaume waliooa, hilo lipo waziHajui ukishaoa tuu mbususu zinaanza kumwagika zenyewe, sijui kwa nini😂😂😂
Hajui kula na kuliwa hakuishi hata ukioa ama kuolewa😋Na sie wadada tunapenda wanaume waliooa, hilo lipo wazi
Mimi nina 40+ wanasema bado mtamu....ingawa sipigi round nyingi lakini ukiona mwanamke anapoteza sauti au fahamu kwa muda wakati wa tendo ujue kitu na boxMaradhi ni mitihani ambayo kila mja hupitia na wengine huvuka mitihani hiyo na wengine huwaondoa......
Wapo vijana wenye maradhi kama hayo na wengine wamezaliwa nayo na pia Kuna wazee wenye umri mkubwa na hawana maradhi hayo wako na afya njema......si vyema kunasibisha umri mkubwa na maradhi kwani hakuna mtimilifu juu ya Hilo.......
Alafu huwa mnapata wapi ujasiri wa kusema miaka 40 ni mzee....mbona bado ni kijana mbichi kabisa.......Tena anakuwa ni kijana mwenye ufahamu mkubwa na mwenye kuaminika kwenye jamii.......sijui nani amewadanganya kuwa mtu mwenye miaka 40 ni mzee.......
Kuanzia miaka 40 ndio mwanadamu anaanza kuifurahia Dunia kwani ufahamu wake umekuwa juu ya Dunia na watu wake hivyo kuanza kuishi maisha ya ndoto yake huku akijua anachokifanya maishani..
Mwanaume Mungu akimuepusha na maradhi anakuwa active mpaka miaka 80 huko......nawafahamu watu kibao wenye miaka zaidi ya 70 na still wapo vizuri na wanafanya shughuli vyema kabisa.........
Ha haaa kwa kweliDoh nakuonea huruma 😢😢
Hiyo ipo kwa mfuko wa shati.Wanataka pesa ya kiingiza mimba kwanza
Hapana natafuta mwanamke kamiliUnatafuta incubator
Akili kubwa sana....sasa itakuwaje kama akikupa na huo mtandao pendwaungesema unahitaji wife
then akija, unabadili gear, tuanze ku-date
unamjaza fasta, kwa kuwa hutaki kuoa, unamuomba 'line pendwa'
hapa atavunja uhusiano haraka, ila tayari mtoto unaye
mi nilifanya hii trick ika-work, dogo ana miaka 4 sasa
ndiyo maana nakukwepa mtoto mzuriNa sie wadada tunapenda wanaume waliooa, hilo lipo wazi
hahahahahaha, hapo sasa sijuikama akikupa na huo mtandao pendwa
Sijawahi kukufata unajiletaleta vipi kwani?ndiyo maana nakukwepa mtoto mzuri
unagonganisha magari hovyohovyo hakikisha unamlala kama siyo mama yake, dada yake au shoga yake...lazima atanyosha mikono juuAkili kubwa sana....sasa itakuwaje kama akikupa na huo mtandao pendwa
Hapo utapataHiyo ipo kwa mfuko wa shati
Preference atapewa single maza maana hawa kwanza wanajua kugegedana. Pili tako liwepo. Awe msomi angalau ana degreee.Hapo utapata
Tukutafitie mwenye kigezo kipi au ilimradi mbususu ipo?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Male 42, natafuta mwanamke wakuzaa nae japo na mie niitwe baba.
Huduma zote kuanzia mimba inapoingia mpaka kujifungua na malezi ya mtoto na mama yote juu yangu.
Mwanamke awe tayari kushika mimba kabla ya mwaka huu kuisha.