Natafuta mwanamke wa kuzaa naye

Natafuta mwanamke wa kuzaa naye

Hee kumbe, sasa bi mkubwa si akutafutie hako katoto😀 hivi kweli hiyo age uliyoandika ni yako kweli? Mi najuaga utakua kwenye 20s
Bi mkubwa mwenyewe namtongoza ananitolea nje.
Wee ebu kuwa na adabu. Yaani mzabzab niwe na miaka 20? 🤣🤣🤣🤣
Yaani mtoto wa miaka 20 awe anataka kizalisha kweli. Hiyo sii itakuwa kids having kids🤣🤣🤣🤣
 
Bi mkubwa mwenyewe namtongoza ananitolea nje.
Wee ebu kuwa na adabu. Yaani mzabzab niwe na miaka 20? 🤣🤣🤣🤣
Yaani mtoto wa miaka 20 awe anataka kizalisha kweli. Hiyo sii itakuwa kids having kids🤣🤣🤣🤣
Sawa ila hujafika hiyo miaka uliyoandika, ntabisha hadi asubuhi 😀 miaka 18 watu wanazalisha sembuse 20 kijana mkubwa kabisa
 
Sawa ila hujafika hiyo miaka uliyoandika, ntabisha hadi asubuhi 😀 miaka 18 watu wanazalisha sembuse 20 kijana mkubwa kabisa
Haya endelea kubisha. Alafu ubishi wako huo utakufanya uishi single na cpa yako,🤣🤣🤣
 
Mzee.wa mbususu anataka mtoto [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom