Natafuta mwanamke wa kuzaa naye

Natafuta mwanamke wa kuzaa naye

🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Bwana bwana!! Wengine sio lazima muitwe baba.
 
Au Anisubiri Mimi nitimize miaka 42 tukae tuyazungumze ngoma iwe droo🤣🤣🤣Bado km miak 17 hivi sio mingi
My Goshh! Akusubiri...yeye atakuwa mbabu.....afu mwache ivoivo Dawa imkolee
 
Hili bandiko lilinipita, nadhani superwoman kashapatikana. Hongera Prof.
 
Back
Top Bottom