Natafuta mwanamke wa kuzaa naye

Natafuta mwanamke wa kuzaa naye

[emoji1783][emoji1783][emoji1783] Jobless mwenzangu naona umechoka kuishi bila katoto, ukipata wengi na mie niunge na mmoja nipate mtoto hata mmoja, na mie niitwe baba. Umri unatutupa alafu tupo kwa wazazi, maaha hata madogo myumbani yanaona tunalingana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!
 
Bila shaka Ushapata mwongozo!
All the bests mkuu!
 
Nimependa hapo kwenye "Wa kuzaa naye" yani umekua specific ili msijesumbuana huko mbele!
 
Screenshot_20220929-235054_GBWhatsApp.jpg
Kuna pacha wako huku....
 
Back
Top Bottom