Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
Kabisa yaan😜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa yaan😜
Umenifanya niende kununua skonzi kubwa. 😂😂😂😂😂😂Lazima kabisa...tako skonsi kama mawardat
Mwanangu hawezi kunitupa nikiwa na shida ila mwanamke wako ukfulia anachapa lapaUmeona mwanawane muhimu kuwa na mtoto
Kuna utofauti kidogo kwa jinsi nilivyomuelewa mimi.Umejieleza Kwa kutumia njia ndefu Ya kuzunguka!
Ungeweza Kusema 'NATAFUTA MKE' Basi maneno mawili tu ukimaanisha Kitu kile kile.
🤣🤣🤣🤣 Anaangalia kina wachumba zake ni kina Nani?!Kabisa yaan🤣
TajijuHuyu sii nasikia ni undefined
Wewe kakitu kabaya unanitakia nini unajua unaniambia mimi nikazae na watu wa humu umeona naziki na wanaume???Mcheki huyu mrembo kuliko wote jf sista Unique Flower
Oa acha uzuzu shenzi kabisa yaani umfanye mtu mama halafu humuoi hujui unatakiwa ukamtolee faini ya kumfanya mama halafu unamadai eti natafuta hatujawa midoli tunahitaji ndoaMale 42, natafuta mwanamke wakuzaa nae japo na mie niitwe baba.
Huduma zote kuanzia mimba inapoingia mpaka kujifungua na malezi ya mtoto na mama yote juu yangu.
Mwanamke awe tayari kushika mimba kabla ya mwaka huu kuisha.
Mbona unakuwa mkali sana jamani mrembo....hayo ndio maisha nayotaka. U dnt like it well thats uOa acha uzuzu shenzi kabisa yaani umfanye mtu mama halafu humuoi hujui unatakiwa ukamtolee faini ya kumfanya mama halafu unamadai eti natafuta hatujawa midoli tunahitaji ndoa
Ili waje wampelekee moto 🤣🤣🤣🤣Nakuombea upate mtoto wa kike, nadhani umenielewa.
😂😂😂😂Nilikuwa sijaona jamn
😂😂😂Ili waje wampelekee moto 🤣🤣🤣🤣
Ah mpaka aje kuwa umri wa kupelekewa moto mie nilishajichokea zangu....mama yake ndio atahangaika nae😂😂😂