Natafuta mwanamke wa kuzaa naye

Natafuta mwanamke wa kuzaa naye

Umejieleza Kwa kutumia njia ndefu Ya kuzunguka!

Ungeweza Kusema 'NATAFUTA MKE' Basi maneno mawili tu ukimaanisha Kitu kile kile.
Kuna utofauti kidogo kwa jinsi nilivyomuelewa mimi.
Kipaumbele chake ni kupata mtoto kwa hiyo akimpata huyo mwanamke cha kwanza azae kwanza badala ya kuanza mipango ya kuoana na harusi labda vije mbeleni baada ya kupata mtoto ndicho alicholenga.
 
hahhahaaa kama tupo wengi vile mimi sasa natafuta wa 18-22 nizae nae nimpangishie nimpe msingi wa maisha kisha maisha mengine yaendelee. kipaumbele msambaa tu sio zaidi ya hapo
 
Male 42, natafuta mwanamke wakuzaa nae japo na mie niitwe baba.

Huduma zote kuanzia mimba inapoingia mpaka kujifungua na malezi ya mtoto na mama yote juu yangu.

Mwanamke awe tayari kushika mimba kabla ya mwaka huu kuisha.
Oa acha uzuzu shenzi kabisa yaani umfanye mtu mama halafu humuoi hujui unatakiwa ukamtolee faini ya kumfanya mama halafu unamadai eti natafuta hatujawa midoli tunahitaji ndoa
 
Oa acha uzuzu shenzi kabisa yaani umfanye mtu mama halafu humuoi hujui unatakiwa ukamtolee faini ya kumfanya mama halafu unamadai eti natafuta hatujawa midoli tunahitaji ndoa
Mbona unakuwa mkali sana jamani mrembo....hayo ndio maisha nayotaka. U dnt like it well thats u
 
Back
Top Bottom