RoadLofa
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,509
- 3,313
😂😂😂Umepiga mahesabu fresh maana unapostaafu na 60 mwanao atakuwa form five Ivo six na college atasomea kiinua mgongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Umepiga mahesabu fresh maana unapostaafu na 60 mwanao atakuwa form five Ivo six na college atasomea kiinua mgongo
😂😂😂😂Huku ndo kupatwa kwa mbususu sasa [emoji3][emoji3]
😂😂😂Ah mpaka aje kuwa umri wa kupelekewa moto mie nilishajichokea zangu....mama yake ndio atahangaika nae
Nichelewe tena 😜🤣🤣😂😂😂😂Nilikuwa sijaona jamn
Ah wee tulia mwanaume hazeeki bwana....bado tunaweza mwagilia mbolea kwa bustani at tukiwa na miaka 80🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Jamani..nimecheka kwa nguvuuu
Enwei umezeeka Sana bana ungekua walau na 38 😜
😂😂😂😂😂 Sa itakuaje?Ah wee tulia mwanaume hazeeki bwana....bado tunaweza mwagilia mbolea kwa bustani at tukiwa na miaka 80
Basi njoo nikuwowe jamani mrembo tupate mtotoNani atamsaidia huyu mwamba jamani apate chitoto chake asife bila kujaza dunia tusaidiane jamani mie ningemsaidia ila nimwiko kwetu kupata mtoto bila ndoa nitapigwa faini yang'ombe dume 7
Wee tulia umri bado unaruhusu....njoo bwana unipe kamtoto kaziri kabisa😂😂😂😂😂 Sa itakuaje?
Nakupenda wewe hujui tu.Wewe kakitu kabaya unanitakia nini unajua unaniambia mimi nikazae na watu wa humu umeona naziki na wanaume???
Mara nauza sh. Ngapi una laki arobani
Dola ndio hiyo sio nauza nitakupatia kabisa ukiwa na hiyo.
Kuja kwa pm tuyajenge buddah😂Wee tulia umri bado unaruhusu....njoo bwana unipe kamtoto kaziri kabisa
BaaasiKuja kwa pm tuyajenge buddah😂
Kwisha kabisa😂😂😂Baaasi
Braza tulia bana🤣Kwisha kabisa😂😂😂
Kwisha kabisa.Braza tulia bana🤣
Leo nimekuwa blaza sio?Braza tulia bana🤣
🤣🤣🤣🤣🤣 Forever braza wa faida na majira yake😍Leo nimekuwa blaza sio?
Pm yenyewe umefunga🤣🤣🤣🤣Kuja kwa pm tuyajenge buddah😂