Stunnaman008
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 238
- 272
Mimi nikijana wa 33yrs natafuta mwanamke wa kumuowa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta hgal ndugh utaenjoy mbayq maisha kama sio wa kulelewaMimi nikijana wa 33yrs natafuta mwanamke wa kumuowa
Wakuowa awe muislamuUnataka wakuwowa wa dini gani na umri gani mkuu
Andika uzuri kwanza kbl ya kushambuliaTafuta hgal ndugh utaenjoy mbayq maisha kama sio wa kulelewa
Nani uyo mkuuTafuta mwalimu kwanza akufundishe kuandika vizuri
Humu jf?Mimi nikijana wa 33yrs natafuta mwanamke wa kumuowa
Ah awe na kazi au jobless Shekhe??Wakuowa awe muislamu
Vyovyote tu mimi sijali kama muislamu wajibu wangu kumtunza yeyeAh awe na kazi au jobless Shekhe??
Ahsante then katika kiswahili hakuna yaani halafu kuwahi sio kiswahili safi pia Alafu sio kiswahiliHahaha! Yaani una miaka 32 alafu unatafuta mwanamke wa kuoa mtandaoni? Mtu usiyemjua wala kuwahi kumuona physically? Aisee.
Alafu sio "kuwowa" ni "kuoa." Utajiharibia chance ya kupata mwenye vyeti.
Nenda na wewe ukasome kiswahili halafu uje kukosoa tenaHahaha! Yaani una miaka 32 alafu unatafuta mwanamke wa kuoa mtandaoni? Mtu usiyemjua wala kuwahi kumuona physically? Aisee.
Alafu sio "kuwowa" ni "kuoa." Utajiharibia chance ya kupata mwenye vyeti.
Ahsante kwa ushawishi wakoUpo wapi
huo umri ni sahihi sana lakni ulitakiwa uwenao 3 mnachagua 1 wa kufa naye au akuuwe wewe!
endelea kupambana
Nitafuata ushauri wako😂 😂 😂
Wewe tafuta wa Kuwowa sio kujibizana na watu utapoteza malengo yako
😂😂😂AiseeUnataka wakuwowa wa dini gani na umri gani mkuu