Natafuta mwanaume anaejielewa tumalizie maisha yaliyobaki

Natafuta mwanaume anaejielewa tumalizie maisha yaliyobaki

Status
Not open for further replies.

mummitto

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
318
Reaction score
245
Mimi ni mwanamke miaka 39, naishi Mwanza na Elimu yangu ni Postgraduate nimeajiriwa. Sijawahi kuwaza itafika mahali nitafute mwenza kwenye Forum kama hivi ila ni maisha.

Wahenga walisema kosea kujenga usikosee kuoa au kuolewa ndio kilichonikuta, ambae yupo serious sitaki kuumizwa tena. Ikiwezekana asiwe na uhitaji wa watoto awe aidha ni mjane mwenye watoto wake ama vinginevyo, mimi nina watoto 2 sifikirii kuzaa zaidi ya kuwalea hao 2 na sitaweza kuishi kwenye upweke kwani bado umri unaruhusu kuwa na mwenza.

Mimi sio mkabila ila sitapenda awe muhaya am sorry to say mwenye amemaliza ujana, IQ kubwa sio tegemezi, weclome. Ukiwa mkazi wa Mwanza itapendeza zaidi mapenzi ya mbali ni hedeki.

Nipo tayari kupima afya.

UPDATE:

Nashukuru sana JF. Nimeshapata mwenza.

Asanteni
 
Age na lacation ambayo ni favourite kwako ,,imenikosesha mwanamke ,
Ila ebu cheki upande huu pia Kama itawezekana mm ni kijana wa 28 miaka ,npo kibaha ni muajiriwa Kama hzo Zita tiki powa ni PM tu.
 
sasa ndoa bila mtoto mmhhh ngumu kumeza ..si bora mimi niendelee kudanga tu
 
Me ni mwanamke miaka 39 naishi Mwanza elimu postgraduate nimeajiriwa…. Cjawahi kuwaza itafika mahali nitafute mwenza kwenye forum km hv ila ni maisha….wahenga walisema kosea kujenga uckosee kuoa au kuolewa ndio kilichonikuta.

Ambae yupo serious sitaki kuumizwa tena ikiwezekana asiwe na uhitaji wa watoto awe aidha ni mjane mwenye watoto wake ama vinginevyo me nna watoto 2 cifikirii kuzaa zaidi ya kuwalea hao 2 na ctaweza kuishi kwenye upweke kwani bado umri unaruhusu kuwa na mwenza…

Mimi sio mkabila ila ctapenda awe muhaya am sorry to say… mwenye amemaliza ujana ..iq kubwa sio tegemezi weclome ukiwa mkazi wa mwanza itapendeza zaidi mapenzi ya mbali ni hedeki… nipo tayari kupima afya..!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi umenizidi takribani miaka 13 kama utanipenda sitojali shida ulizobeba
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom