Natafuta mwanaume anaejielewa tumalizie maisha yaliyobaki

Natafuta mwanaume anaejielewa tumalizie maisha yaliyobaki

Status
Not open for further replies.
Nipo hapa ila baadhi ya vigezo vyako sijakidhi, Mimi ni tegemezi bado sina kazi ila kama upo tyari tuwe wote sawa, Nipo Mwanza.[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo wazito sana kujieleza, we taja umri wako, amesema anataka ambae ameuacha ujana, IQ iwe juu, lakini pia asiwe dependant
 
  • Thanks
Reactions: bbc
Me ni mwanamke miaka 39 naishi Mwanza elimu postgraduate nimeajiriwa…. Cjawahi kuwaza itafika mahali nitafute mwenza kwenye forum km hv ila ni maisha….wahenga walisema kosea kujenga uckosee kuoa au kuolewa ndio kilichonikuta.

Ambae yupo serious sitaki kuumizwa tena ikiwezekana asiwe na uhitaji wa watoto awe aidha ni mjane mwenye watoto wake ama vinginevyo me nna watoto 2 cifikirii kuzaa zaidi ya kuwalea hao 2 na ctaweza kuishi kwenye upweke kwani bado umri unaruhusu kuwa na mwenza…

Mimi sio mkabila ila ctapenda awe muhaya am sorry to say… mwenye amemaliza ujana ..iq kubwa sio tegemezi weclome ukiwa mkazi wa mwanza itapendeza zaidi mapenzi ya mbali ni hedeki… nipo tayari kupima afya..!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee kama kweli hutaki kuzaa tena ebu nitafuta tumalizie maisha yaani sie ni full kusafiri tuu
 
Ujana umetafunwa wewe kwahiyo miaka unaitwa mstaafu sasa hutakiwi kuchagua akija yoyote wewe mkubali tu, angalia Magufuli asimalize uraisi ukiwa upo upo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Me ni mwanamke miaka 39 naishi Mwanza elimu postgraduate nimeajiriwa…. Cjawahi kuwaza itafika mahali nitafute mwenza kwenye forum km hv ila ni maisha….wahenga walisema kosea kujenga uckosee kuoa au kuolewa ndio kilichonikuta.

Ambae yupo serious sitaki kuumizwa tena ikiwezekana asiwe na uhitaji wa watoto awe aidha ni mjane mwenye watoto wake ama vinginevyo me nna watoto 2 cifikirii kuzaa zaidi ya kuwalea hao 2 na ctaweza kuishi kwenye upweke kwani bado umri unaruhusu kuwa na mwenza…

Mimi sio mkabila ila ctapenda awe muhaya am sorry to say… mwenye amemaliza ujana ..iq kubwa sio tegemezi weclome ukiwa mkazi wa mwanza itapendeza zaidi mapenzi ya mbali ni hedeki… nipo tayari kupima afya..!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Who needs a discarded scrap?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom