Natafuta mwanaume anaejielewa tumalizie maisha yaliyobaki

Natafuta mwanaume anaejielewa tumalizie maisha yaliyobaki

Status
Not open for further replies.
Nipo hapa ila baadhi ya vigezo vyako sijakidhi, Mimi ni tegemezi bado sina kazi ila kama upo tyari tuwe wote sawa, Nipo Mwanza.[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app

๐Ÿ˜† ๐Ÿ˜† ๐Ÿ˜† ๐Ÿ˜† ๐Ÿ˜† ๐Ÿ˜† ๐Ÿ˜† ๐Ÿ˜† wewe unataka kuwa mario?

Mungu akupe haja ya moyo wako mpendwa.
 
Mimi ni mwanamke miaka 39, naishi Mwanza na Elimu yangu ni Postgraduate nimeajiriwa. Sijawahi kuwaza itafika mahali nitafute mwenza kwenye Forum kama hivi ila ni maisha.

Wahenga walisema kosea kujenga usikosee kuoa au kuolewa ndio kilichonikuta, ambae yupo serious sitaki kuumizwa tena. Ikiwezekana asiwe na uhitaji wa watoto awe aidha ni mjane mwenye watoto wake ama vinginevyo, mimi nina watoto 2 sifikirii kuzaa zaidi ya kuwalea hao 2 na sitaweza kuishi kwenye upweke kwani bado umri unaruhusu kuwa na mwenza.

Mimi sio mkabila ila sitapenda awe muhaya am sorry to say mwenye amemaliza ujana, IQ kubwa sio tegemezi, weclome. Ukiwa mkazi wa Mwanza itapendeza zaidi mapenzi ya mbali ni hedeki.

Nipo tayari kupima afya.
Sogea kipande hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni mwanamke miaka 39, naishi Mwanza na Elimu yangu ni Postgraduate nimeajiriwa. Sijawahi kuwaza itafika mahali nitafute mwenza kwenye Forum kama hivi ila ni maisha.

Wahenga walisema kosea kujenga usikosee kuoa au kuolewa ndio kilichonikuta, ambae yupo serious sitaki kuumizwa tena. Ikiwezekana asiwe na uhitaji wa watoto awe aidha ni mjane mwenye watoto wake ama vinginevyo, mimi nina watoto 2 sifikirii kuzaa zaidi ya kuwalea hao 2 na sitaweza kuishi kwenye upweke kwani bado umri unaruhusu kuwa na mwenza.

Mimi sio mkabila ila sitapenda awe muhaya am sorry to say mwenye amemaliza ujana, IQ kubwa sio tegemezi, weclome. Ukiwa mkazi wa Mwanza itapendeza zaidi mapenzi ya mbali ni hedeki.

Nipo tayari kupima afya.
Kama kweli upo sereous nitext kwenye namba 0743503492 tuyajenge
 
Nipo hapa age 30, watoto 2, senior bachelor na private sector employee. Ila daslam ndo makazi yangu

Tukiunganisha familia hapo tuna watoto wa 4 nadhani wanatosha kabisa.
 
Mimi ni mwanamke miaka 39, naishi Mwanza na Elimu yangu ni Postgraduate nimeajiriwa. Sijawahi kuwaza itafika mahali nitafute mwenza kwenye Forum kama hivi ila ni maisha.

Wahenga walisema kosea kujenga usikosee kuoa au kuolewa ndio kilichonikuta, ambae yupo serious sitaki kuumizwa tena. Ikiwezekana asiwe na uhitaji wa watoto awe aidha ni mjane mwenye watoto wake ama vinginevyo, mimi nina watoto 2 sifikirii kuzaa zaidi ya kuwalea hao 2 na sitaweza kuishi kwenye upweke kwani bado umri unaruhusu kuwa na mwenza.

Mimi sio mkabila ila sitapenda awe muhaya am sorry to say mwenye amemaliza ujana, IQ kubwa sio tegemezi, weclome. Ukiwa mkazi wa Mwanza itapendeza zaidi mapenzi ya mbali ni hedeki.

Nipo tayari kupima afya.
WAle ulioanza nao maisha vipi kwani ila wengi huku wana wakumaliza nao maisha labda mike wa pili
 
Mamito
Nimekuelewa vizuri sana.
Vigezo vipo wazi ila vingine kama mambo yakienda vizuri vinaweza kuji set.
I believe kila kitu kinaanza na urafiki kwanza, tena kwa kuongea.
Mengine sisi watu wazima yatajipima tu..

Jamii Forums huwa inanipa raha sana!! Sasa wewe jamaa, huyo uliyem quote na kumpigisha sound ni Mummitto kweli! ๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom