Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Nipo hapa ila baadhi ya vigezo vyako sijakidhi, Mimi ni tegemezi bado sina kazi ila kama upo tyari tuwe wote sawa, Nipo Mwanza.[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha haaa....mummitto,
"......awe aidha ni mjane mwenye watoto wake ...."
Kwahiyo unatafuta mwanamke mwenzio mjane au?
Sogea kipande hiiMimi ni mwanamke miaka 39, naishi Mwanza na Elimu yangu ni Postgraduate nimeajiriwa. Sijawahi kuwaza itafika mahali nitafute mwenza kwenye Forum kama hivi ila ni maisha.
Wahenga walisema kosea kujenga usikosee kuoa au kuolewa ndio kilichonikuta, ambae yupo serious sitaki kuumizwa tena. Ikiwezekana asiwe na uhitaji wa watoto awe aidha ni mjane mwenye watoto wake ama vinginevyo, mimi nina watoto 2 sifikirii kuzaa zaidi ya kuwalea hao 2 na sitaweza kuishi kwenye upweke kwani bado umri unaruhusu kuwa na mwenza.
Mimi sio mkabila ila sitapenda awe muhaya am sorry to say mwenye amemaliza ujana, IQ kubwa sio tegemezi, weclome. Ukiwa mkazi wa Mwanza itapendeza zaidi mapenzi ya mbali ni hedeki.
Nipo tayari kupima afya.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hufikirii kuzaa tena? Kwahiyo nije kukulelea watoto wako?
Ngoja na mimi nitafute wawili fasta nije tushirikiane kulea hao watoto wanne. mummitto,
Kama kweli upo sereous nitext kwenye namba 0743503492 tuyajengeMimi ni mwanamke miaka 39, naishi Mwanza na Elimu yangu ni Postgraduate nimeajiriwa. Sijawahi kuwaza itafika mahali nitafute mwenza kwenye Forum kama hivi ila ni maisha.
Wahenga walisema kosea kujenga usikosee kuoa au kuolewa ndio kilichonikuta, ambae yupo serious sitaki kuumizwa tena. Ikiwezekana asiwe na uhitaji wa watoto awe aidha ni mjane mwenye watoto wake ama vinginevyo, mimi nina watoto 2 sifikirii kuzaa zaidi ya kuwalea hao 2 na sitaweza kuishi kwenye upweke kwani bado umri unaruhusu kuwa na mwenza.
Mimi sio mkabila ila sitapenda awe muhaya am sorry to say mwenye amemaliza ujana, IQ kubwa sio tegemezi, weclome. Ukiwa mkazi wa Mwanza itapendeza zaidi mapenzi ya mbali ni hedeki.
Nipo tayari kupima afya.
Mamito
Utoto wenu wa Instagram na Facebook muwe mnauacha mlangoni kabla hujaingia humu. Uwe na adabu na watu dogo!
kama kweli vile!!!!mungu atakupatia mme mwema tu.... usiofu humu waugwana tupo wengi
Sent using Jamii Forums mobile app
WAle ulioanza nao maisha vipi kwani ila wengi huku wana wakumaliza nao maisha labda mike wa piliMimi ni mwanamke miaka 39, naishi Mwanza na Elimu yangu ni Postgraduate nimeajiriwa. Sijawahi kuwaza itafika mahali nitafute mwenza kwenye Forum kama hivi ila ni maisha.
Wahenga walisema kosea kujenga usikosee kuoa au kuolewa ndio kilichonikuta, ambae yupo serious sitaki kuumizwa tena. Ikiwezekana asiwe na uhitaji wa watoto awe aidha ni mjane mwenye watoto wake ama vinginevyo, mimi nina watoto 2 sifikirii kuzaa zaidi ya kuwalea hao 2 na sitaweza kuishi kwenye upweke kwani bado umri unaruhusu kuwa na mwenza.
Mimi sio mkabila ila sitapenda awe muhaya am sorry to say mwenye amemaliza ujana, IQ kubwa sio tegemezi, weclome. Ukiwa mkazi wa Mwanza itapendeza zaidi mapenzi ya mbali ni hedeki.
Nipo tayari kupima afya.
Mamito
Nimekuelewa vizuri sana.
Vigezo vipo wazi ila vingine kama mambo yakienda vizuri vinaweza kuji set.
I believe kila kitu kinaanza na urafiki kwanza, tena kwa kuongea.
Mengine sisi watu wazima yatajipima tu..