Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
Ivi huu usemi wa kuganga SI kwa kina dada kweli?,nashanga kusikia mwanaume akiuzungumzasasa ndoa bila mtoto mmhhh ngumu kumeza ..si bora mimi niendelee kudanga tu
nenda mtoni utavua vyurra wengi🐸🐸🐸🐡🐡
Sijui nimepitaje huku, ila hii comment huenda ikanichekesha hata nikiwa mbali na simu. "Unaomba kandarasi"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yan hakuna kuzaa.. ni kunyegeshana tu. Fully marahaa.. mamii naomba hiyo kandarasi.. Sitakuangusha. Nipo Pasians
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu tupe historia yako kidogo japo tukuseme. Maana ni ngumu sana kumuamini mwanamke ambaye amefika age fulani na hayupo katika mahusiano. Hebu funguka.Mimi ni mwanamke miaka 39, naishi Mwanza na Elimu yangu ni Postgraduate nimeajiriwa. Sijawahi kuwaza itafika mahali nitafute mwenza kwenye Forum kama hivi ila ni maisha.
Wahenga walisema kosea kujenga usikosee kuoa au kuolewa ndio kilichonikuta, ambae yupo serious sitaki kuumizwa tena. Ikiwezekana asiwe na uhitaji wa watoto awe aidha ni mjane mwenye watoto wake ama vinginevyo, mimi nina watoto 2 sifikirii kuzaa zaidi ya kuwalea hao 2 na sitaweza kuishi kwenye upweke kwani bado umri unaruhusu kuwa na mwenza.
Mimi sio mkabila ila sitapenda awe muhaya am sorry to say mwenye amemaliza ujana, IQ kubwa sio tegemezi, weclome. Ukiwa mkazi wa Mwanza itapendeza zaidi mapenzi ya mbali ni hedeki.
Nipo tayari kupima afya.
Nipo na rafiki yangu around 40+ anahitaji sana mke hayupo mbali na mwanza lakini ni muhaya aliyetembea .Mimi ni mwanamke miaka 39, naishi Mwanza na Elimu yangu ni Postgraduate nimeajiriwa. Sijawahi kuwaza itafika mahali nitafute mwenza kwenye Forum kama hivi ila ni maisha.
Wahenga walisema kosea kujenga usikosee kuoa au kuolewa ndio kilichonikuta, ambae yupo serious sitaki kuumizwa tena. Ikiwezekana asiwe na uhitaji wa watoto awe aidha ni mjane mwenye watoto wake ama vinginevyo, mimi nina watoto 2 sifikirii kuzaa zaidi ya kuwalea hao 2 na sitaweza kuishi kwenye upweke kwani bado umri unaruhusu kuwa na mwenza.
Mimi sio mkabila ila sitapenda awe muhaya am sorry to say mwenye amemaliza ujana, IQ kubwa sio tegemezi, weclome. Ukiwa mkazi wa Mwanza itapendeza zaidi mapenzi ya mbali ni hedeki.
Nipo tayari kupima afya.
Pathetic human being why mnapenda kutusi.ujinga na ukosefu wa akili low IQWho needs a discarded scrap?
Vitoto vya chuo utavijua tu
Yaani Ni maajabu sanaIvi huu usemi wa kuganga SI kwa kina dada kweli?,nashanga kusikia mwanaume akiuzungumza
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Inafikirisha sana!!!mzima lakini.Yaani Ni maajabu sana
sounds like an idiotPathetic human being why mnapenda kutusi.ujinga na ukosefu wa akili low IQ
HahahhaaaHufikirii kuzaa tena? Kwahiyo nije kukulelea watoto wako?
Ngoja na mimi nitafute wawili fasta nije tushirikiane kulea hao watoto wanne. mummitto,