Natafuta mwanaume anaejielewa tumalizie maisha yaliyobaki

Status
Not open for further replies.
Yan hakuna kuzaa.. ni kunyegeshana tu. Fully marahaa.. mamii naomba hiyo kandarasi.. Sitakuangusha. Nipo Pasians

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui nimepitaje huku, ila hii comment huenda ikanichekesha hata nikiwa mbali na simu. "Unaomba kandarasi"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hebu tupe historia yako kidogo japo tukuseme. Maana ni ngumu sana kumuamini mwanamke ambaye amefika age fulani na hayupo katika mahusiano. Hebu funguka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipo na rafiki yangu around 40+ anahitaji sana mke hayupo mbali na mwanza lakini ni muhaya aliyetembea .
Hajui usafi na anamtoto mmoja ameajiriwa selikarini.

Kama ni yes I can connect to him.
 
Nimependa hyo “tumalizie maisha yaliyobaki” [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uwe tayari kukaa New zealand, nione IN box ila ni kubwa kwako miaka 49
 
Umesahau kuweka Angalizo kwamba tuserengeti boy. Manake Hutu tumsingi kiuno tunadhani tukipiga ----- inatosha, watakuwa na kunywa for the rest of their lives in the name of marriage.

You will find love and you will be happy. Just stay sober upstairs na first priority Wape wanao. Angalia Sana utakaem date kabla hujamkutanisha na wanao. Because it will definitely have an impact on their lives.

Good Luck Dada. You will need it.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…