Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
All the best dada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hupaswi kujua hilokatika hao wenzio wewe umo? ????
aya endeleza simuluzi usiku mweeeeema na malaika wakulindeHupaswi kujua hilo
Amina! Lala unonoaya endeleza simuluzi usiku mweeeeema na malaika wakulinde
Asante my dear
Niko tayari kupima,hata kama bila ya kuniambia maana hata hiv ina type zakeSawa umeathirika, lakin je utakuwa tayari kupima?
Asante am commingNimekuja PM.... Faith
Mimi ni msichana wa miaka 25, ninaishi na virusi vya HIV, mkristo, ninasoma chuo naingia mwaka wa tatu. Natafuta mwanaume ikiwezekana baadae awe mume, awe mkristo, age kati 28-35, from Dsm, awe serious.
Kama uko tayari njoo pm
pole dada utampata tu mnae endanaMimi ni msichana wa miaka 25, ninaishi na virusi vya HIV, mkristo, ninasoma chuo naingia mwaka wa tatu. Natafuta mwanaume ikiwezekana baadae awe mume, awe mkristo, age kati 28-35, from Dsm, awe serious.
Kama uko tayari njoo pm
Wa tz wanavyojua unyanyapaa labda 0.05% tu ndo wapo hao waelewa unaowasema.Wapo waelewa,kikubwa ni kuishi kwa tahadhari. Kuna watu wawili ninaowafahamu walioamua kuwa na wenza waathirika na mpaka sasa wao hawajaambukizwa
Hujaona tofauti ya comment zako na nyingine..."RUDI NYUMA SHETANI WEE"...Wazee wa kujilipua. Mnaitwa huku, huyu yupo vizuri tu