Aiseee wacha nikubali,yes walinitenda na kunitendua vibaya mnooo.Wamekutenda vibaya snaa 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee wacha nikubali,yes walinitenda na kunitendua vibaya mnooo.Wamekutenda vibaya snaa 😂😂😂
dronedrake Intelligent businessman Poor Brain mbagajr24Yaani wanawake wa kichaga ni nuksi sana . Anapokuwa anasaka pumziko la moyo unaweza sema ni malaika!
To me I consider Chaga woman like a toxic cancer!
Hawa viumbe wao wapo kimaslahi zaidi!
TEAM KATAA NDOA 💪💪
Chagga kama una hela tegemea kufa haraka
Kwani kafanya nini mkuu?Mchaga mwenye Rangi maji ya kunde(Manka)embu utani Aysee...
Embu kuwa siriasiiiii.
Mleta uzi anajibu lako...Kwani kafanya nini mkuu?
Dah, Kweli mukiwezeshwa munaweza.
Nimesubirii sijaona muoaji, sasa mimi nimekupenda je, naweza kukuoa kwa mkopo? Kusema kweli nimekupenda binti wewe.Habari za humu jf
Mm ni mwanamke umri 32yrs naishi Dsm natafuta mwanaume wa kunioa
Sifa zangu
Trible:Chagga
Elim Diploma
Kazi: Biashara ndogondogo
Dini:Mkristo Lutheran(KKKT)
Sina mtoto wala sijawah kuolewa, ninahofu ya Mungu, mpole, msikivu,mtulivu,rangi maji ya kunde (mweupe kwa mbali)sio mnene wala mwembamba pia sio mfupi wala mrefu(wastani)
Sifa za mwanaume
Umri kuanzia miaka 36 hadi 45 awe na hofu ya Mungu ,mkweli na mwenye upendo
Awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato, akiwa na mtoto asizidi mmoja, kabila lolote , dini Mkristo ila sio Sabato zaid awe mpambanaji(mtafutaji)Karibu pm tuyajenge niko tayari kuwa mke.
HahaNikutakie mafanikio mema katika kusaka kwako mume wa ndoa .
😁😁😁Wachaga wote ni wale wale watu wa maslahi na roho korosho.
Ukiwa huna pesa waweza ambiwa uinuke kwa kiti ili iwekwe ndoo ya mbege.
We mwache tu, akifikisha 37 huko atabakisha kigezo cha kupumua tu na hatompata candidate hata mmoja.Hapa huwa mnakosea na inaonekana unatafuta mtu wa kukusaidia majukumu.
Maisha siyo rahisi kama unavyofikiria na ukumbuke pesa inapatikana kwa kufanya Kazi
Hayupo mwanaume ambaye ataishi bila kufanya kazi na kwa vigezo hivyo, utapata wa hit and run.
Hata mimi, siwezi kuja pm wala kukuoa kwasababu unanifundisha majukumu yangu na ukumbuke suala la ridhiki hajipangii mtu. Kuna kesho, km upo na mimi kwasababu nina shughuli yoyote na ni mpambanaji. Kuna kuugua au mambo kwenda mrama, si utanikimbia?
Wewe tafuta mwanaume bila kuweka vigezo, na anza kuchuja kimya kimya mpk umpate anayekidhi vigezo vyako
Nicheki pm vigezo vyote ninavyoHabari za humu jf
Mm ni mwanamke umri 32yrs naishi Dsm natafuta mwanaume wa kunioa
Sifa zangu
Trible:Chagga
Elim Diploma
Kazi: Biashara ndogondogo
Dini:Mkristo Lutheran(KKKT)
Sina mtoto wala sijawah kuolewa, ninahofu ya Mungu, mpole, msikivu,mtulivu,rangi maji ya kunde (mweupe kwa mbali)sio mnene wala mwembamba pia sio mfupi wala mrefu(wastani)
Sifa za mwanaume
Umri kuanzia miaka 36 hadi 45 awe na hofu ya Mungu ,mkweli na mwenye upendo
Awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato, akiwa na mtoto asizidi mmoja, kabila lolote , dini Mkristo ila sio Sabato zaid awe mpambanaji(mtafutaji)Karibu pm tuyajenge niko tayari kuwa mke.
Weka picha tuthaminisheSina mtoto wala sijawah kuolewa, ninahofu ya Mungu, mpole, msikivu,mtulivu,rangi maji ya kunde (mweupe kwa mbali)sio mnene wala mwembamba pia sio mfupi wala mrefu(wastani)
Nina watoto 3 Kwa hiyo Sina sifa kabisa??Habari za humu jf
Mm ni mwanamke umri 32yrs naishi Dsm natafuta mwanaume wa kunioa
Sifa zangu
Trible:Chagga
Elim Diploma
Kazi: Biashara ndogondogo
Dini:Mkristo Lutheran(KKKT)
Sina mtoto wala sijawah kuolewa, ninahofu ya Mungu, mpole, msikivu,mtulivu,rangi maji ya kunde (mweupe kwa mbali)sio mnene wala mwembamba pia sio mfupi wala mrefu(wastani)
Sifa za mwanaume
Umri kuanzia miaka 36 hadi 45 awe na hofu ya Mungu ,mkweli na mwenye upendo
Awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato, akiwa na mtoto asizidi mmoja, kabila lolote , dini Mkristo ila sio Sabato zaid awe mpambanaji(mtafutaji)Karibu pm tuyajenge niko tayari kuwa mke.