Natafuta mwanaume wa kunioa 2024

Natafuta mwanaume wa kunioa 2024

Habari za humu jf
Mm ni mwanamke umri 32yrs naishi Dsm natafuta mwanaume wa kunioa
Sifa zangu
Trible:Chagga
Elim Diploma
Kazi: Biashara ndogondogo
Dini:Mkristo Lutheran(KKKT)

Sina mtoto wala sijawah kuolewa, ninahofu ya Mungu, mpole, msikivu,mtulivu,rangi maji ya kunde (mweupe kwa mbali)sio mnene wala mwembamba pia sio mfupi wala mrefu(wastani)

Sifa za mwanaume
Umri kuanzia miaka 36 hadi 45 awe na hofu ya Mungu ,mkweli na mwenye upendo
Awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato, akiwa na mtoto asizidi mmoja, kabila lolote , dini Mkristo ila sio Sabato zaid awe mpambanaji(mtafutaji)Karibu pm tuyajenge niko tayari kuwa mke.
Nimesubirii sijaona muoaji, sasa mimi nimekupenda je, naweza kukuoa kwa mkopo? Kusema kweli nimekupenda binti wewe.
 
Hapa huwa mnakosea na inaonekana unatafuta mtu wa kukusaidia majukumu.
Maisha siyo rahisi kama unavyofikiria na ukumbuke pesa inapatikana kwa kufanya Kazi
Hayupo mwanaume ambaye ataishi bila kufanya kazi na kwa vigezo hivyo, utapata wa hit and run.
Hata mimi, siwezi kuja pm wala kukuoa kwasababu unanifundisha majukumu yangu na ukumbuke suala la ridhiki hajipangii mtu. Kuna kesho, km upo na mimi kwasababu nina shughuli yoyote na ni mpambanaji. Kuna kuugua au mambo kwenda mrama, si utanikimbia?
Wewe tafuta mwanaume bila kuweka vigezo, na anza kuchuja kimya kimya mpk umpate anayekidhi vigezo vyako
We mwache tu, akifikisha 37 huko atabakisha kigezo cha kupumua tu na hatompata candidate hata mmoja.

Mwanamke anayezungumzia mambo ya kipato huwa namuepuka kama ukoma.
 
kipato kiwe bei gani kwa siku ili tusisumbuane ukinijib nakuja pm
 
Habari za humu jf
Mm ni mwanamke umri 32yrs naishi Dsm natafuta mwanaume wa kunioa
Sifa zangu
Trible:Chagga
Elim Diploma
Kazi: Biashara ndogondogo
Dini:Mkristo Lutheran(KKKT)

Sina mtoto wala sijawah kuolewa, ninahofu ya Mungu, mpole, msikivu,mtulivu,rangi maji ya kunde (mweupe kwa mbali)sio mnene wala mwembamba pia sio mfupi wala mrefu(wastani)

Sifa za mwanaume
Umri kuanzia miaka 36 hadi 45 awe na hofu ya Mungu ,mkweli na mwenye upendo
Awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato, akiwa na mtoto asizidi mmoja, kabila lolote , dini Mkristo ila sio Sabato zaid awe mpambanaji(mtafutaji)Karibu pm tuyajenge niko tayari kuwa mke.
Nicheki pm vigezo vyote ninavyo
 
Sina mtoto wala sijawah kuolewa, ninahofu ya Mungu, mpole, msikivu,mtulivu,rangi maji ya kunde (mweupe kwa mbali)sio mnene wala mwembamba pia sio mfupi wala mrefu(wastani)
Weka picha tuthaminishe
 
Habari za humu jf
Mm ni mwanamke umri 32yrs naishi Dsm natafuta mwanaume wa kunioa
Sifa zangu
Trible:Chagga
Elim Diploma
Kazi: Biashara ndogondogo
Dini:Mkristo Lutheran(KKKT)

Sina mtoto wala sijawah kuolewa, ninahofu ya Mungu, mpole, msikivu,mtulivu,rangi maji ya kunde (mweupe kwa mbali)sio mnene wala mwembamba pia sio mfupi wala mrefu(wastani)

Sifa za mwanaume
Umri kuanzia miaka 36 hadi 45 awe na hofu ya Mungu ,mkweli na mwenye upendo
Awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato, akiwa na mtoto asizidi mmoja, kabila lolote , dini Mkristo ila sio Sabato zaid awe mpambanaji(mtafutaji)Karibu pm tuyajenge niko tayari kuwa mke.
Nina watoto 3 Kwa hiyo Sina sifa kabisa??
 
Panua wigo mama. Sina maana hiyo unayofikiri. Namaanisha punguza masharti utu include na sisi wazee wa mujini 50+ lkn hajawahi oa.
 
Back
Top Bottom