Natafuta mwanaume wa kunioa

Natafuta mwanaume wa kunioa

Kila la heri mkuu Mungu akupe hitaji la moyo wako,japo nina ushauri kidogo.

1.Sifa ulizoweka hazina shida maana ndizo zitakazokuletea mtu utakaekuwa na furaha nae.

2.Kuhusu mtu kuwa tayari kwa ndoa ndani ya mwaka huu hili ni tatizo na linaweza kukukwamisha kufikia hitaji lako,sasa ni mwezi wa nne,tunakaribia kufikia nusu ya mwaka,ndoa ina mambo mengi,usiharakishe mambo mwisho wa siku ukajutia uamuzi,mipango mizuri,utulivu na subira huleta matokeo bora.

3.Pata utulivu wa mawazo,ona/hisi kwamba hujachelewa kuingia kwenye ndoa,muombe Mungu akujalie mtu sahihi.

Kila la heri kwako[emoji1666]
 
🎶🎶usije itaka harusi kwa pupa,Usije itaka harusi ukarudi na taraka.
usikimbilie mume ukaukondesha moyo x2🎶

sasa ukitaka kujua aliye imba alikuwa anamaanisha nini wewe jidai kuharakisha mambo tu.
 
Najua wengi mtajiuliza kama huko mtaani sikutani na wanaume,kwanza wanaume wapo wengi mtaani lakini kutokana na nature yangu mimi mizunguko yangu huwa ni kwenye shughuli zangu na kurudi home,ninao kutana nao wengi kwanza hawaamini kama nipo single na wengine ni waume za watu hivyo inanipa wakati mgumu naishia kubaki single

Umefika muda nataka kutulia kuwa mke kwa mume na mama wa familia,nitafurahi kama nikipata mtu mwenye interest hizo.Najua kuna wanaume wengi tu wapo tayari kuoa lakini kwenye circle yao hawaoni watu walio tayari kama ilivyo upande wangu

Naomba niweke vitu vya muhimu ambavyo ningependa muhusika awe navyo angalau
Vigezo

1)awe anaishi Dar preferably mikoa mingine long distance relationship ni tatizo,Dar atapewa kipaumbele zaidi

2) Awe na kipato stable cha kumudu familia yake,nikimaanisha kuanzisha familia isiwe mzigo kwake,au mpaka ajipange mtu ninae muongelea hapa ni ameshajipanga kuoa

3) Awe ni mtu ana utu na hofu ya Mungu,mkristu R.C Au K.K.T itapendeza

5) Mrefu asiwe chini ya 170cm

6) Ambae hana mtoto au kama ana mtoto mmoja akizidi mmoja ni changamoto haswa kama kwa mama wawili tofauti

7) Umri miaka 33 kuendelea

8) Awe mtafutaji amechangamka kuna wanaume wapo wamezubaa jamani,mtu anae ridhika na maisha kirahisi itakuwa changamoto maana mimi nipo sharp pia nikipata sharp mwenzangu tutaenda sawa

9) Awe na mpango wa kuoa mwaka huu,mimi si mtu complicated aina ya ndoa just a simple one,kama wote tuna nia moja kila mtu ameamua kutulia naamini inawezekana

Sifa zangu

Ni mrefu,maji ya kunde,umbo la wastani sio mwembamba sio mnene,umri miaka 27
Nimejiajiri
Sina mtoto
Mcheshi kiasi mkimya kiasi
Mengine tutaelewana tukishaongea Mungu akijalia huko PM
[/QUOTE]
Uwepo wa chura na bikra hujazungumzia
 
Uwepo wa chura na bikra hujazungumzia[/QUOTE]

Haha sinaa kabisa ni tatizo
 
Back
Top Bottom