hahahahahahaa awe tayari kupima ukapuya??????? haya dada mimi niko tayari kupima huo u porofesa ni PM tuzae my deaNikizaa nitalea Mwenyewe, na yeye atabak kuwa Ba Mtoto na Mzaz mwenzangu ila Ngono baada ya kuzaa hapana, awe sura nzuri, Mrefu.
Toa umalaya hapa c ungezaa na huyo ulie nae cku zote?
Kwani kaacha kukukaba?utatokaje sasa kwenda kwa uyu dada wa watu mwenye hitaji lake?
Mshikaji zitto anakutafuta kweli.
ngoja nikupe # ya kapuya
Stress za ndoa zinaletwa na ile hamu ya kutaka nafasi isiyo yako....Duuuuh! Unachotamani natamani kingenitokea kabla ya leo maana nisingeangaika na hzi stress za ndoa
Wapo watu kwenye ndoa wana miaka mpaka 20 na hawana watotoNikizaa nitalea Mwenyewe, na yeye atabak kuwa Ba Mtoto na Mzaz mwenzangu ila Ngono baada ya kuzaa hapana, awe sura nzuri, Mrefu.