Natafuta mwanaume wa kuzaa nae

Natafuta mwanaume wa kuzaa nae

Nikizaa nitalea Mwenyewe, na yeye atabak kuwa Ba Mtoto na Mzaz mwenzangu ila Ngono baada ya kuzaa hapana, awe sura nzuri, Mrefu.


Naona kila mtu anajinadi kadri ya upeo wake sidhani kama wako serious, hebu wapime ukiona ni wazenguaji tu, tafadhali usisite nifate PM tupange mambo.
 
Kulea mwenyewe sio ujanja dada,ungejua taabu na madhara wanayokuwa nayo hawa watoto wa kulelewa na mzazi mmoja usingetamani kumwingiza mwanao mpendwa kwenye aina hiyo ya maisha,iwe bahati mbaya jamani si kupanga kama utakavyo. Kuna teenager namfahamu amelelewa vizuri ana kila kitu muhimu lakini ukikaa naye siku zoote mkitulia akawaona watoto wako na wazazi wao wawili anaumia saaana, ana maswali mengi sana juu ya babayake alipo,anasema baba yangu angekuwepo ningempenda sana,mara ..hao watoto wana raha sana wako na baba yao.Jamani wanawake msipende kuiga maisha ambayo hayako kwenye mpango wa Mungu.
 
Toa umalaya hapa c ungezaa na huyo ulie nae cku zote?
alienae amtoe wapi?wanaume siku hizi wako very selective,usikute ni michelin tena sura ikawa haivutii nani atamchangamkia?.

Nasikia kule nyeri wanawake wa huko ni wabaya wa sura hadi wanaume wanaamua kutembea na wanyama,so huenda hizo type zipo hadi ....
 
Nikizaa nitalea Mwenyewe, na yeye atabak kuwa Ba Mtoto na Mzaz mwenzangu ila Ngono baada ya kuzaa hapana, awe sura nzuri, Mrefu.

Wee angalia baada ya hapo usijekungangania.
Na je utakuwa tayari kama ni mume wa mtu?
 
Kweli mnyama akiwa kwenye heat anahangaika sana,hapa utapandiwa hata na vichaa
 
Nikizaa nitalea Mwenyewe, na yeye atabak kuwa Ba Mtoto na Mzaz mwenzangu ila Ngono baada ya kuzaa hapana, awe sura nzuri, Mrefu.
Kumbe fursa zipo nyingi hivi, ngoja nianzishe huo mradi wa kuzalisha wadada wanaopenda kutunza watoto peke yao, subiri tangazo wapi nitakuwepo.
 
Nikusahihishe kidogo ili usiendelee kuharibu lugha ya Taifa, mwanaume anakupa mimba tu ila kuzalishwa utatakiwa kwenda kuwaona manesi ama madaktari kwasababu wao ndo wanazalisha

Ila huo ni umalaya pia na ni mbaya kwa malezi ya mtoto atakayezaliwa.
 
............kweli hatareeeeeeeeeee.....hujasema size gani kwani 9" wengine tuko kimya
 
Back
Top Bottom