Natafuta mwanaume wa kuzaa nae

Natafuta mwanaume wa kuzaa nae

Tenda hiyo changamkieni.

Hii inaonyesha jinsi gani kuna 'Masuruali' wapumbavu.
Hivi kwa mfano tu huyu dada akiwakubalia hawa wote kwa wakati tofauti itakuaje? Hii mipumbavu na ukame walionao wakivuliwa pichu na bidada huyu sizani kama watakumbuka tena kama bidada huyo kapima au la..

Majanga....
 
Nikizaa nitalea Mwenyewe, na yeye atabak kuwa Ba Mtoto na Mzaz mwenzangu ila Ngono baada ya kuzaa hapana, awe sura nzuri, Mrefu.


We mzuri,ebu weka picha yako full kwenye pm nikuone,na unidondeshee cv yako
 
'taaaaaaaaaaaaaaariiiiiiiii 'akin sa'ama!
 
Nikizaa nitalea Mwenyewe, na yeye atabak kuwa Ba Mtoto na Mzaz mwenzangu ila Ngono baada ya kuzaa hapana, awe sura nzuri, Mrefu.

Wewe ni bikira? Kama siyo Virgin, si una mtu anayekuliwaza si umwambie ili uzae nae, au hana uwezo wa hitting at the bottom and inflating at the top?
 
Nikizaa nitalea Mwenyewe, na yeye atabak kuwa Ba Mtoto na Mzaz mwenzangu ila Ngono baada ya kuzaa hapana, awe sura nzuri, Mrefu.

Je wewe unmvuto mambo mengine hip vipi llipo?
 
mbona wewe mwenyewe hujataja wasifu wako? na je mpaka sasa umeenda km ngapi? isije kuwa injini (mashine) imechoka. vipimo vya vvu mimi ninavyo ntakuja navyo siku ya mechi. ila andaa gharama za shoo na malipo ya msanii kichwa wazi.
 
We sema unataka mtu akusndikize kupima vvu lakini wewe huwezi kuzaa maana umekua sugu ni sawa kupanda mahindi juu ya paa la nyumba ya bati.
 
Duuu! Uzuri wa mwanaume wa nini? We lete tupetue ila mi sio mbaya zamani wadada walikuwa wananiita hembusamu c unajua shule ya msingi!
Ni pm nakukatia na tiketi uje nlipo na jiandae na mechi moja kali na ya kihistoria ktk maisha yako.
 
Back
Top Bottom