Natafuta mwanaume wa kuzaa nae

Natafuta mwanaume wa kuzaa nae

Una shilingi ngapi?
Siyo unaweka vigezo mara mzuri mara mrefu unategemea nani anajijua kuwa ni Mbaya?
sasa msaada wangu kwako hebu eleza wazi kwanza unadau la shilingi ngapi? Hayo maswala ya kupima VVU si tatizo lakini pia fikiria ni nani mjinga akuachie mtoto mtu asiyekujua au unafikiri mtoto ni wako tu au hahitaji malezi ya baba na mama? sasa kwa kuwa fedha ilimnunua hata Yesu basi we sema una shilingi ngapi kwa ajili ya hilo halafu watu wakupe kontakti zao. Maana napata shida kuelewa mtazamo wako upo wapi? Hata nahisi unataka mtoto ili umuandae awe wa kukuuzia madawa ya kulevya au awe Malaya kama mama yake!
Wenzako tunathamini watoto {Kukukabidhi mtoto ummiliki wewe tu napata shida}.
VIGEZO NA MASHARTI VITAFUATWA (na wewe uwe BIKIRA)
 
we mwenyewe mzuri? Na unahela ya kulipia mbegu division 1?au unanuka shida hapa JF
 
Kwani mkunga lazima akuoe, akisha kuzalisha warejea kwako. Hata hivyo wakunga wakiume kama wapo ni nadra kwa kwetu afrika. "MIDFATHER"
 
Yeye anataka dume mwenye sura nzuri,mbona mwenyewe hatupia face yake hapa tuone kama inalipa au goti la mbuzi.
Atangaze dau, mbona atatupata wengi. Hallafu awe tayari kuzaa mapacha wanne.
 
Haya ya firauni mwenzenu siachi kustaajabu ya musa niliyaona kwa Prof Kapuya.
 
Back
Top Bottom