Kaka mimi ni mwenyeji wa maeneo hayo Mkuu, hakuna eneo linaloitwa mwandeti! Ukifika unguuni, kuna options tatu tu; ukishuka/ukinyooka na barabara utaelekea Bwawani/Luisi, ukikunja kulia (kwenye tank/kwa dada) utaeleka Lokii/kichangani, na ukikunja kushoto, utaelekea Marurani/maji moto.Kwa ufupi ww ukifika nduruma stand ambapo pia panaitwa uunguuni ww chukua boda boda waambie waelekea mwandeti wanakufikisha boss
Mwandeti ya kule Ngara Mtoni?Kwa ufupi ww ukifika nduruma stand ambapo pia panaitwa uunguuni ww chukua boda boda waambie waelekea mwandeti wanakufikisha boss
Mm nakupa option ambayo ni rahic kuto potea bossKaka mimi ni mwenyeji wa maeneo hayo Mkuu, hakuna eneo linaloitwa mwandeti! Ukifika unguuni, kuna options tatu tu; ukishuka/ukinyooka na barabara utaelekea Bwawani/Luisi, ukikunja kulia (kwenye tank/kwa dada) utaeleka Lokii/kichangani, na ukikunja kushoto, utaelekea Marurani/maji moto.
Sasa Mkuu hiyo Mwandeti unayoisemea iliyopo Unguuni ni ipi Mkuu???
Mkuu samahani mimi kukuambia kwamba wewe ni muongo! Wana-JF naona harufu ya upigwaji hapa, kuweni makini. Mimi nimezaliwa katika kijiji hicho na huyu jamaa naona yupo "kimtegomtego."Mm nakupa option ambayo ni rahic kuto potea boss
Ukiwa nduruma stand pale umeshuka keny haic nenda kwny boda boda yyt waambie nataka kwnda mwandeti wanakupeleka .
Wajua kuelekezana kwa txt ni ngum kdg kama hapo uliposema kuna option 3 kwangu naona kuna 4
Moja kulia unaelekea lokii na kichangani upande huo huo wa kulia kuna ambayo inashuka na nguzo unaelekea kwa ma sister mpk songambele
Mbili kuna ya kushoto zaid na moja ya katikati hapo kibaoni inashuka unaelekea huko mwandeti kunasehem ya mfereji panaitwa kwa rasi kuna njia mbili moja inaenda songambele nyingine inaenda mwandeti ambapo ni kitongojini
Sijajua hapo kama tumepatana boss
Naelewa boss sio niambaya ambayo ww unayo mm kama mm sio mkazi wa hk nimekuja kuwekeza na nina shamba so kujua kila mtaa na kata kwa undani kama ww sio rahc
Labda ww boss uko maeneo gani hk ndurumaNaelewa boss sio niambaya ambayo ww unayo mm kama mm sio mkazi wa hk nimekuja kuwekeza na nina shamba so kujua kila mtaa na kata kwa undani kama ww sio rahc
Mm ninavojua niko kitongoji cha mwandeti kijiji cha bwawani ila sina lengo la kumdanganya mtu ishtoshe nitafaidika na nn mwenye naitaji mtu wa kusaidiana tutoke kimaisha
Kama nitakua nimekose kwa kuelekeza haukua lengo
Ila kwa uongo ABADANI sijaongea uongo
Ni kwl nina shamba huko
Wana-JF huyu jamaa ni tapeli!!!! Ngoja nikuripoti kwa ma-admin wa JFNaelewa boss sio niambaya ambayo ww unayo mm kama mm sio mkazi wa hk nimekuja kuwekeza na nina shamba so kujua kila mtaa na kata kwa undani kama ww sio rahc
Mm ninavojua niko kitongoji cha mwandeti kijiji cha bwawani ila sina lengo la kumdanganya mtu ishtoshe nitafaidika na nn mwenye naitaji mtu wa kusaidiana tutoke kimaisha
Kama nitakua nimekose kwa kuelekeza haukua lengo
Ila kwa uongo ABADANI sijaongea uongo
Ni kwl nina shamba huko
Its seems u dont want to reason boss but kusema mm nimuongo that is out lineWana-JF huyu jamaa ni tapeli!!!! Ngoja nikuripoti kwa ma-admin wa JF
Active & YinYang Huyu jamaa ni tapeli. Mimi ni mzawa wa hicho kijiji ila taarifa zake kuhusiana na location ya hilo shamba lake ni la uongo, na naona hapa anawinda watu awaibie kwa hila zote kwa kutumia wrong infos. Please mpigeni burn/m-delete hii post yake kabla hajawaibia watu. You will thank me later.
Its seems u dont want to reason boss but kusema mm nimuongo that is out line
Kua mzawa wa sehem haimaanishi kila sehem ww unaijua in detail unless ww ni mwenyekiti wa huku
Na nimekuja huku sio kwa lengo la kutapel watu ningekua nina nia ningeenda daka watu huko mjini kwny social media mm sijawa tapel kama wa mpesa na tigo pesa eti tuma hela kwenye number hii
Kama ww hauko interested usiingizie watu ur thought za kuibiwa boss sina mda wa kupoteza na kuibia watu wakati shamba lenyewe ukiingia ardhi ipo na tunafanya kazi sijasema nauza ardhi wabongo ndo mnapo fel hapo
Sio mm boss sina cha ku gain nikisema info za uongo kama ni kuchanganya maeneo ni kawaida ila kutaka kupiga sio kwl sijasema nauza ardhi nasema kuwekezaWatanzania tunapenda upigaji
We mwizi naomba usini-quote tena. Nimetoa taadhari kwa wana-JF nikiwa ni mzawa wa Nduruma.....Its seems u dont want to reason boss but kusema mm nimuongo that is out line
Kua mzawa wa sehem haimaanishi kila sehem ww unaijua in detail unless ww ni mwenyekiti wa huku
Na nimekuja huku sio kwa lengo la kutapel watu ningekua nina nia ningeenda daka watu huko mjini kwny social media mm sijawa tapel kama wa mpesa na tigo pesa eti tuma hela kwenye number hii
Kama ww hauko interested usiingizie watu ur thought za kuibiwa boss sina mda wa kupoteza na kuibia watu wakati shamba lenyewe ukiingia ardhi ipo na tunafanya kazi sijasema nauza ardhi wabongo ndo mnapo fel hapo
Usitake kuwaibia watu Mkuu. JF ni kubwa kuliko unavyofikiri. Natoa taadhari tena wana-JF kaeni mbali na huyu tapeli...Sio mm boss sina cha ku gain nikisema info za uongo kama ni kuchanganya maeneo ni kawaida ila kutaka kupiga sio kwl sijasema nauza ardhi nasema kuwekeza
Tafuta kazi ya halali yakukuingizia hela Mkuu sio kutunga mauongo yako ili uwaibie watu. JF ni kubwa kuliko unavyozani Mkuu...Sante kwa muda wako boss
Hayo ni maona yako kusema mm ni muongoTafuta kazi ya halali yakukuingizia hela Mkuu sio kutunga mauongo yako ili uwaibie watu. JF ni kubwa kuliko unavyozani Mkuu...
Wana-JF natoa taadhari tena kaeni mbali na huyu tapeli...Hayo ni maona yako kusema mm ni muongo
Na kwl hii platform ni kubwa kwa nn niseme uongo
Nimekuuliza kistaarabu ww wakaa wapi nikuelekeze from there seems kichwa kimesha kaza what can i do
Nimesha kuuliza ww wakaa wapi wasema nduruma... yenyewe ni kubwa ... Songambele yenyewe haujui ss inakuaje apo ww ndo waoneka muongoTafuta kazi ya halali yakukuingizia hela Mkuu sio kutunga mauongo yako ili uwaibie watu. JF ni kubwa kuliko unavyozani Mkuu...
We mwizi nshakuambia usini-quote tena!!!Nimesha kuuliza ww wakaa wapi wasema nduruma... yenyewe ni kubwa ... Songambele yenyewe haujui ss inakuaje apo ww ndo waoneka muongo
Napia kama hauko interested na kuwekeza acha watu ambao wako wachangie usiaharibu hali ya hewa boss
Ningekua muungo nisinge poteza mda wangu kuendelea kukujibu
Umeona tabia za wabongo kurudisha maendeleo nyuma wajaribu kumuulekeza ila kakaza fufuWana-JF natoa taadhari tena kaeni mbali na huyu tapeli...