Natafuta mwekezaji katika shamba langu heka 10 mkoa wa Arusha

Yes.. now you are talking..
Unafuatilia, ukijiridhisha, ukaona utapata maslahi, unajitosa!

Kweli mkuu huwezi kufanya kitu bila kujiridhisha na risk taker tupo hata iwe wapi kama ni fursa tunaiangalia kwanza na kuifanya

Mimi niko nje ila kwa uwekezaji kama huu unawezekana maadam naye yuko radhi ku share
 
Karibu sna boss na pia nimeenda kufatilia umeme na tanesco walikuja pima na surveyer wanataka watuingize kwny rea tuombe mungu ifanikiwe mapema

Naomba iwe hivyo
Nitafuatilia huu uzi kwa ukaribu
Fursa nzuri
 
Kweli mkuu huwezi kufanya kitu bila kujiridhisha na risk taker tupo hata iwe wapi kama ni fursa tunaiangalia kwanza na kuifanya

Mimi niko nje ila kwa uwekezaji kama huu unawezekana maadam naye yuko radhi ku share
Hii ni fursa Mkuu! Muhimu Kufika kwenye mradi Kwanza!
 
Ekari kumi mbona ni kashamba kadogo tu.
Lima mwenyewe.
 
Kama jamaa amekuita tapeli bila ushaidi..na Kama unachosema Ni kweli.. Basi nisamehe kwa kukurupuka kumuamini jamaa..maana amesema kwao Ni huko..
Mimi pia nipo kwenye kilimo lakini Niko mwanza..
 
Kama jamaa amekuita tapeli bila ushaidi..na Kama unachosema Ni kweli.. Basi nisamehe kwa kukurupuka kumuamini jamaa..maana amesema kwao Ni huko..
Mimi pia nipo kwenye kilimo lakini Niko mwanza..
Hyo nimesha samehe kikubwa nj kujenga yajayo
 
Kweli mkuu huwezi kufanya kitu bila kujiridhisha na risk taker tupo hata iwe wapi kama ni fursa tunaiangalia kwanza na kuifanya

Mimi niko nje ila kwa uwekezaji kama huu unawezekana maadam naye yuko radhi ku share
Huko Nduruma mashamba ya kukodi pia ni mengi sana, hata mkishindwana na jamaa on ana na serikali ya kijiji u kodi mashamba yako. Ardhi ni kubwa huko
 
Kwa kutusaidia unaweza kutuambia atatutapeli kwa njia ipi? Kwamba kukosea kutaja location inasababishaje mtu aibiwe?

Tuseme kwa mfano ni kweli shamba haliko Nduruma lakini physical lipo kilometa kadhaa kutoka hapo... utapeli utaingiaje hapo?

Katika hali halisi unadhani mtu atatupa hela yake bila kufika eneo husika na kijiiridhisha uhalali wake???

Kwanini umekomalia kwenye wizi na utapeli?
 
Binafsi sijaelewa dogo kwanini kashupalia kwenye utapeli. Uwekezaji mkubwa kama huo nani ataingia kichwakichwa bila kujiridhisha?

Yani niseme Shamba liko Bunju, lakini physically lipo kilometa kadhaa tokea Bunju... tayari inaonekana utapeli ?

Ishu hapa ni shamba lipo? Lina uhalali? Kama vyote ni ndio, utapeli unatokea wapi?
 
Ukifika kwenye shamba kabla ya kufanya chochote, anza kumwona Mjumbe wa Kitongoji, halafu Mwenyekiti wa Kitongoji, halafu Mwenyekiti wa Kijiji husika, halafu Mtendaji wa Kijiji.
Hao viongozi wanne ndio wakuruhusu kutumia hilo shamba tena kwa maandishi, saini na mihuri ya ofisi husika.

Ukiingia kichwa kichwa utaachwa ulime, upalilie, wakati wa kuvuna ndio utaitwa serikari ya Kijiji kwa madhtaka.
Utalipa faini na kuacha mazao yavunwe na mwenye shamba.

Huu ni Ulimwengu Mwingine.
 
Kwa mradi mkubwa kama huo, ni kichaa pekee atakayeingia shambani kulima bila kujiridhisha kwenye mamlaka husika...
 
Kiubinadamu zio rahc kuamini afu isitoshe ni mambo ya kwnyw mtandao naelewa ni ngumu kumeza

Ila pale mtu atakapo kua na wito kamili wa kufika sehem yenyw mm nitampeleka na kumuuonesha viambatanisho vyote kua shamba ni langu
 
Huko Nduruma mashamba ya kukodi pia ni mengi sana, hata mkishindwana na jamaa on ana na serikali ya kijiji u kodi mashamba yako. Ardhi ni kubwa huko
Ni kwl mashamba yapo ya kumwaga bie kama sikosri ni 100k kwa heka ukibahatika lenye kupita mferiji

Mengi hayafiki kama hii langu mvereji uko mbaaali sna so nimechimba kisima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…