Inategemea kukodisha ni 100k unaweza bahatika la kwnyw mferejiWanakodishaje mkuu
Na nikitaka kununuua bei zipoje
ila kiukweli umemkosea sana huyu jamaaWana-JF natoa taadhari tena kaeni mbali na huyu tapeli...
yani umemuhisi alafu unaanza kumtukana unauhakika gani kama kwel ni mwizi ila sawa NATAMANI MUNGU AKULIPE KWA ULICHO MFANYIA MWENZIOWe mwizi nshakuambia usini-quote tena!!!
roho imeniuma sana kwa alicho kufanyia huyu jamaa...Umeona tabia za wabongo kurudisha maendeleo nyuma wajaribu kumuulekeza ila kakaza fufu
Wana JF nyie mnaakili acheneni na huyu jamaa ananipotezea nguvu zangu
Kama upo kwl interest naomba ni DM
Kwa ss sina nguvu ya kulima nafuatilia umemeSheria zako za uwekezaji zipoje unatak mtu wa kulima nae au unataka kitu gani
Kwa kwl watu tutumie mitandao vzr japo hamna mtu wnaweza akakufanya mwnyw ila unajijushia hadhiroho imeniuma sana kwa alicho kufanyia huyu jamaa...
iwe ni kwel au si kwel ANAHUKUM UTADHAN ANAUHAKIKA NA ANACHO KISEMA...
ILA NI KAWAIDA USIKATE TAMAA NA MUNGU ATAKULIPA KWA ALICHO KUFANYIA HUYO MBWA
Ntumie namba yako kwa msimu wa mwezi wa 11Kwa ss sina nguvu ya kulima nafuatilia umeme
Nakukodishia ww ulime
Hapo makubaliano yatakua kutokana na ukubwa wa shamba utakavyo taka
Sent from my SKR-H0 using JamiiForums mobile app