Tonytonio
Member
- Oct 9, 2019
- 98
- 102
Yeeeppp ipo next to bahari beach hotel kakaMkuu unaifahamu sehemu moja maarufu kwa kitimoto inayoitwa rudisfarm hapo Kunduchi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeeeppp ipo next to bahari beach hotel kakaMkuu unaifahamu sehemu moja maarufu kwa kitimoto inayoitwa rudisfarm hapo Kunduchi?
Hehe hii madongo poromoka iko wapi Cylia?!Ahsante Sana nawe karibu madongo poromoka.
Hehehehe ipo huku mwisho wa das laam...Kama waelekea pwani,😊Hehe hii madongo poromoka iko wapi Cylia?!
Du Cylia huko kwakweli unaweza ukanidaslaam kwelikweli nikithubutu kuja hahahaHehehehe ipo huku mwisho wa das laam...Kama waelekea pwani,😊
😂😂😂😂 Haya uwe na weekend njemaDu Cylia huko kwakweli unaweza ukanidaslaam kwelikweli nikithubutu kuja hahaha
Asante nawe pia 🙂😂😂😂😂 Haya uwe na weekend njema
Njoo in box tafadhaliNaitwa Catherine natafuta mwenza sifa zangu!
-Umri 32
-Dini Mkristo
-Elimu Degree
-Kazi Mwajiriwa
-Sina mtoto
Natafuta mwenza mwenye sifa zifuatazo
Awe- Dini mkristo
-Umri 34-45
-Awe anajishughulisha
Hey Cylia! Nini kimekusibu tena kutoka Cylia kwenda Yna2 🙂?!😂😂😂😂 Haya uwe na weekend njema
Hivi kuolewa ni lazima eeeee???Miaka 32 its too late already....tafuta yeyote anayepumua tu......soon utaingia 35 - 40 ambayo ni danger zone
Kuna watu wagumu kubadilika mind set aiseh lolHivi kuolewa ni lazima eeeee???
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Njoo pm
Haaaaaaa swali zuri sanaUna Mkopo wa elimu ya juu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
mwenzenu niko 36 sina hata mtoto... mbaya zaidi sina hata mchumba .. tena zaidi kuliko yote hata girlfriend. yaan dahHivi Kumbe Kuna wanaume mko 34 hamjaoa? [emoji848]
Una shida gani?mwenzenu niko 36 sina hata mtoto... mbaya zaidi sina hata mchumba .. tena zaidi kuliko yote hata girlfriend. yaan dah
Nimefungwa na Mke mkubwa.. katu haribu wote.. kaka mkubwa wakwanza ana 46 ana mtuata ana 43 mwingine 40 alafu kuna wa 38 alaf mimi wa mwisho 36.. yaan wote hakuna anaye owa.. tuna hangaika kweli ila mahusiano yote yana kufa.. hata watoto wakusingiziwa.. sasa katika kuhangaika ..tuka pata taarifa MKE MKUBWA KAWATUNGA TUSI TAMAN WALA KUTAMANIWA.. HUYO ALIYE ENDA KWA MGANGA KAAGULIWA JUZI NDIO KAPATA MTOTO WAKWANZA AKIWA NA 40YRS.. SISI WENGINE TUNAKAZANA KUSALI NA KUFUNGA MAANA TUNAOGOPA KUAMINI USHIRIKINA.. ILA NDIO HIVYO ALIYE AMINI AKAENDA KAPATA MTOTO NA SASA ANAFANYA MPANGO AOWE.. SISI WENGINE HATA MSICHANA TU WAKUTEMBEA NAYA HAITOKEI.. NISHIDA KWELI NA UKILAZIMISHA MAHUSIANO NA MTU HAMDUMU WEEK MOJA.. MNAACHWA..Una shida gani?