Good...tuishie hapaNimeacha tokea juzi
SawaGood...tuishie hapa
Sorry mkuuDogo unakitu unakitafuta
Imekaa kama tangazo la kazi mbona?Hello JF users.Niko jukwaani kutafuta mwenza(mume)
Sifa zangu;
Jinsia- mwanamke
Dini-mkristo
Umri-30+ yrs
Elimu-Degree moja
Mtoto-Mmoja 10 yrs
Ajira-Niko private sector
Ninayemuhitaji awe Mkristo;
32-40yrs
Awe na kazi halali
Asiwe kwenye ndoa kwa sasa
Awe muelewa na utayari wa kuingia kwenye uhusiano wa kuelekea ndoa.
Elimu ya chuo kikuu(itapendeza)
Nb:Siko Dar es salam niko mkoani.
Karibuni Pm au email appletofaa95@gmail.com
Cheers!
Njoo nikuoe sasa hiviInamaaana hamuoni kabisa dronedrake Glenn Extrovert Mzee wa kupambania MLEVi Mmoja Carlos The Jackal Equation x Liverpool VPN
Kwamba hamuoni au๐
Utamuweka wapi??Njoo nikuoe sasa hivi
Kipengele hiki daah... Wadau watadai waonyeshwe kaburi kablaMtoto-Mmoja 10 yrs
Hapa hapa dunianiUtamuweka wapi??
Mahari yangu napokea mwenyeweNjoo nikuoe sasa hivi
Utawatapeli wazaziMahari yangu napokea mwenyewe
๐คฃHuyo mtoto @Ahmelo nataka nimfanye mke wako kabla ya mwezi Ramadhani.Lakini umenikosea kiasi kuniweka kati na Mzee wa kupambania na MLEVi Mmoja ๐๐๐๐
Extrovert kunakosea wapi kaka hadi
Amehlo atutafutie mke?
Nipo bize mazee usilamu huu naishi namna hii, naenda resi na mihangaiko ya dunia hii, nafanya kazi inayonisitiri.Inamaaana hamuoni kabisa dronedrake Glenn Extrovert Mzee wa kupambania MLEVi Mmoja Carlos The Jackal Equation x Liverpool VPN
Kwamba hamuoni au๐