Natafuta mwenza mwanamume

mawiomawio ulimpata lakini?

 
Unatafuta mweza wa maisha. Okay...

Apart from sex, what else do you have to offer and contribute kwenye hayo mahusiano (maisha ya pamoja)? Are you an asset or liability?

Tuanzie hapo kwanza madam.

-Kaveli-
 
All the best madam
best
 
Wewe unahitaji wa kumalizia naye maisha? Unaowatafuta bado wanaish,wanajitafuta, wanaanza na wanapambana.

Ni sawa kama you are us kuwa you are no longer productive kwenye jambo lolote. Usiwatafutie watu matatizo, just ishi mwnyewe au jitafutie above 70 mmalizie maisha
 
Dakika ya 35, Yanga 2 simba 0.Mpaka mechi iishe lazima goli ziwe 5 hapo. 😂😂🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…