Natafuta mwenza mwanamume

Natafuta mwenza mwanamume

Mungu alishampatia mume. Huyo alie zaa nae ndo mme wake. Hapa anatafuta mzinifu mwenzake. Msipake matope mafuta. Uzae na mwanaume watoto wawili Kisha umuache utafute mwingine at 35/40? Labda awe amekufa tofauti na hapo,,,,hakuna.! Kwa umri huo wanaume wengi Wana watoto pia. Ukachanganye wa kwako na mwanaume wako😂😂 Kisha ulee! SI Bora ubaki na ndugu yako huyo angalau watoto watakuwa wa Baba mmoja?
HONGERA KWA KUTOA USHAURI MZURI SANA.
NAKAZIA U USHAURI ULIOUTOA NI MZURI SANA.
 
Watoto ni wa baba mmoja, sababu ya kushindwana ktk ndoa huwa sio moja na wala sio ya siku moja ndugu kama hujawahi ingia kwenye ndoa you better keep quiet
umeeleweka vizurikwa faida ya waoaji ingependeza ukamalizia utambulisho wako hasa DINI YAKO IMANI YAKO nna KABILA LAKO.
 
Watoto ni wa baba mmoja, sababu ya kushindwana ktk ndoa huwa sio moja na wala sio ya siku moja ndugu kama hujawahi ingia kwenye ndoa you better keep quiet
Rudia mmeo au Lea watoto. Malaika utampata wapi? Mkikosana unamtafuta mwingine Tena? Tulia, semezana na mwenzio mlee watoto. Wanaume wenzangu, usioe mke wa mwenzio. Huyu ni mke wa mtu. Hajafiwa mme. Rudi kwa mmeo mama. Malizeni tofauti zenu mlee watoto. Yaani watoto wakamuite mtu uncle? Eldora,,,HAPANA!
 
Mimi ni mwanamke 35yrs, watoto wawili, elimu yangu degree.

Natafuta mwenza wa maisha yaliyobaki duniani, nimekuwa mpweke kwa muda mrefu tangu nitengane na mwenza wangu ambaye tulishindwana.

Ni wakati sasa natamani nipate mtu ambaye nitabebana naye katika maisha tuliyobakiza hapa duniani kwa upendo na kuvumiliana.

Awe tayari kupima afya
Umri kuanzia 40yrs mpaka 50
Mkiristo itapendeza zaidi
Awe kabila lolote kasoro Mkurya, Mjita!

Mimi ni mrefu, mnene kiasi na mweusi (chocolate colour).

Mwenye moyo mpweke anayehitaji mwenza na aliye serious karibu.

Naamini mapenzi ni popote pale mtakapo kutana.
Duh? Miaka 35 hiyo "k" si itakuwa imeishakamuliwa vya kutosha utamu wote hamna! Watoto 2? Daah! Baba yao si ataendelea kuleta usiku kwa huyo bwege utakayemuokota? Elimu degree? Daah! Hapo hata naishiwa maneno! Pole saana wanaume! Huyo hapo!
 
Rudia mmeo au Lea watoto. Malaika utampata wapi? Mkikosana unamtafuta mwingine Tena? Tulia, semezana na mwenzio mlee watoto. Wanaume wenzangu, usioe mke wa mwenzio. Huyu ni mke wa mtu. Hajafiwa mme. Rudi kwa mmeo mama. Malizeni tofauti zenu mlee watoto. Yaani watoto wakamuite mtu uncle? Eldora,,,HAPANA!
Wasichofahamu wanawake wengi , ni kua wanaume Asilimia kubwa kwa sasa nao wameshashtuka na drama zao
 
Huwezi pata.
Haujakosea , mwanamke akishakua na chembe za kiburi kamwe hakuna mtu makini atamtaka na hakuna mwanamke aliyewahi kumshinda mwanaume dunia hii hayupo, zaidi atajikuta kwenye circle ya kutumika na kupotezewa
 
Mimi ni mwanamke 35yrs, watoto wawili, elimu yangu degree.

Natafuta mwenza wa maisha yaliyobaki duniani, nimekuwa mpweke kwa muda mrefu tangu nitengane na mwenza wangu ambaye tulishindwana.

Ni wakati sasa natamani nipate mtu ambaye nitabebana naye katika maisha tuliyobakiza hapa duniani kwa upendo na kuvumiliana.

Awe tayari kupima afya
Umri kuanzia 40yrs mpaka 50
Mkiristo itapendeza zaidi
Awe kabila lolote kasoro Mkurya, Mjita!

Mimi ni mrefu, mnene kiasi na mweusi (chocolate colour).

Mwenye moyo mpweke anayehitaji mwenza na aliye serious karibu.

Naamini mapenzi ni popote pale mtakapo kutana.
Nahisi nakufahamu.

Hii njia ukiyotumia ni mbaya bora ibuka na wale uliokuwa nao wenye wake zao ukiishi nao kwa adabu utatoboa. Ndoa unayotaka kufanya itateguka tu
 
Mimi ni mwanamke 35yrs, watoto wawili, elimu yangu degree.

Natafuta mwenza wa maisha yaliyobaki duniani, nimekuwa mpweke kwa muda mrefu tangu nitengane na mwenza wangu ambaye tulishindwana.

Ni wakati sasa natamani nipate mtu ambaye nitabebana naye katika maisha tuliyobakiza hapa duniani kwa upendo na kuvumiliana.

Awe tayari kupima afya
Umri kuanzia 40yrs mpaka 50
Mkiristo itapendeza zaidi
Awe kabila lolote kasoro Mkurya, Mjita!

Mimi ni mrefu, mnene kiasi na mweusi (chocolate colour).

Mwenye moyo mpweke anayehitaji mwenza na aliye serious karibu.

Naamini mapenzi ni popote pale mtakapo kutana.
Karibu inbox
 
Ishu ni watoto, watoto wamekuwa kikwazo kwa mama yao kuolewa, isije ikawa baba yao yuko around. Wanaume wengi hawapendi kuoa wanawake wenye watoto bila kujua baba yao yupo wapi
 
Ishu ni watoto, watoto wamekuwa kikwazo kwa mama yao kuolewa, isije ikawa baba yao yuko around. Wanaume wengi hawapendi kuoa wanawake wenye watoto bila kujua baba yao yupo wapi
 
Back
Top Bottom