Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
- Thread starter
-
- #21
kwani kuna mtu anadai humuNimependa ulivyo jiamin pamoja mtu kupewa namba pm itabidi ajipange haswa usije mpa namba ya beki tatu wako!!
Wengine hapa hukimbilia kufungua ID mpya
Cc miss chagga.
Wewe ushapata mpenzi???????ngoja nikuunganishe nae
Kwanini unasema hivyo Miss?mimi hutoniweza mkuu
basi nunuaitakuwa unajiuza
bado siku nikitaka nitaanzisha post yanguWewe ushapata mpenzi???????
tuma yakoTuma picha ya mlengwa kwanza ili wateja wajionee wenyewe, nasio mbuzi kwagunia!
sipendi blah blahKwanini unasema hivyo Miss?
Hahaaaaahsaaabado siku nikitaka nitaanzisha post yangu
Wapo sema waoga kukudai!kwani kuna mtu anadai humu
njoo pmNaomba niunganishe.
Sijui kuPMnjoo pm
"Middle man"?!! Kwani wewe wakiume?uwe mtu mzima zaidi ya miaka 40 hadi 45
uwe tayari kwa familia
usiwe mlokole au msabato.
uwe na kipato yaani uwe unajishughulisha
usiwe ushawai kuoa/kuolewa / ushawai kufunga ndoa popote
usiwe na vyeti feki
usiwe na watoto zaidi ya wawili maana muhusika anaitaji kuzaa 3
uwe tayari kwa hiv test
mimi ni midle man tu ila kila ombi litapewa kipaumbile litalifikisha kwa muhusika.
Mimi sio mtu wa blah blah pia.sipendi blah blah
nijibu kwani uongohalafu moderator atakuja kunipa mimi ban nikikujibu